Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Kuna viru vya kujaribu, vingine wala huwezi fikiria kuvifanya kama umeshakuwa mtu mzima.

Swali rahisi tu kujua kama ni sawa au si sawa, Wenzi wao walio huku wanajua hilo?

Thubutu! Umwambie mwenzi wako ili iweje? Ninachoshindwa kuelewa ni kitu kimoja...inakuwaje kaka na akili yake anaingia kwenye agreement ya aina hiyo bila yeye kujua kuwa sharing haina limitation? Kweli mtu uliyeoa ulale na mwanamke mwingine chumbani tena kwa kujiachia free tu bila kuishia kuharibiana? Mhh! Sijui ila ipo maneno.
 
Enhe! nini kilijiri usiku wa jana ...Tupe updates ....


url
 
matokeo ni magumu kutoka kwa vile katimiza haja ya mwili
 
Mkungute tu! atakudharau ukimuacha! Tena usitumie mpira - mpe mbichi huone!
 
nadhani shida yako ni kuwa hauna nguvu za kiume au kama zipo ni hafifu sana. kama ni mimi ni nge mgurumisha kama trailer

Sio rijali kweli - umemuona eh!

Ningekuwa mimi ningeenda naye bafuni, tukaoga wote then kabla ya kwenda kupata chochote - kwisha habari yake.
 
Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.Ee mungu nipe ujasiri.
Hahahaaaa pole sana brotha, hayo yalishanitokea tena mbali mno (USA) na ilikuwa wiki 2, lakini kwa double tena kubwa mno.Mi niliweza kuvumilia kwa hali ya double ila kwa wewe humalizi siku tano kwa single hio mnayoishi.Mi nakushauri kwanza uwe wa mwisho kulala na ulale nae mzungu wa nne na jitahidi usipate mvinyo, ukipata/mkipata mvinyo basi itakuwa balaaa.Pole kaka ila hapo ndoa lazima ichakachuliwe.
 
Tukuulize manuu je usiku wa jana nao umeweza kuupitisha? Mbona hujatoa feedback ya jana au ndio ulijilia taratibu?
 
Hahahaaaa pole sana brotha, hayo yalishanitokea tena mbali mno (USA) na ilikuwa wiki 2, lakini kwa double tena kubwa mno.Mi niliweza kuvumilia kwa hali ya double ila kwa wewe humalizi siku tano kwa single hio mnayoishi.Mi nakushauri kwanza uwe wa mwisho kulala na ulale nae mzungu wa nne na jitahidi usipate mvinyo, ukipata/mkipata mvinyo basi itakuwa balaaa.Pole kaka ila hapo ndoa lazima ichakachuliwe.

Pole ya nini sasa!
 
Vumilia tu hizo siku tano, lakini ukifika Bongo msimulie mkeo
na yeye amsimulie mumewe, hapo mutajenga undugu zaidi.
 
ila nasikitika mleta mada katenda la kutenda anaona aibu kutunga story na kibaya zaidi hakutumia kinga
 
Back
Top Bottom