Nimelala na msichana mwenye mapepo

Nimelala na msichana mwenye mapepo

maph

Senior Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
177
Reaction score
50
Jamani, jana ilikuwaf ni hatari kidogo nikimbie pale nilipo lodge na mshina aliyenisumbua kwa muda mrefu sana ,tulipo fika chumbani hali yake niliona ikaanza kubadilika kama mtu mwenye mapepo ! Ndugu kidogo nikimbie lakini kwakuwa alikuwa mzuri nilijikaza nikafanya na ile hali naona ilizidi ninavyo endelea mara anagagalala mikono anarusha huko anaongea manenoambayo siyajuhi eehhh! Nilikomaa baadaye nikaw mshindi .

Eeeeheeee! ilikuwa hatari usiombe ukutane naye unaweza kukimbia kama huna roho ngumu. Baadaye ndo akanimbia hiyo hali yake ndo maana alichukua muda kunikubalia . Huyu msichana ni mzuri na ametusumbua sana wizarani kwetu da.
 
ipo siku yako! Kwahyo unajidaai kwa kuyakong'oli mapepo? Omba mungu uendelee kuwa salama
 
jamani hizi ashiki zingine lol, we unaona mwenzako anatupa mikono na miguu bado umeng'ang'ania angekufia hapo je? inawezekana mapepo yake hayataki mwanaume ngoja yaanze kukufuata hahahaha vitu vingine bwana
 
jamani, jana ilikuwaf ni hatari kidogo nikimbie pale nilipo lodge na mshina aliyenisumbua kwa muda mrefu sana ,tulipo fika chumbani hali yake niliona ikaanza kubadilika kama mtu mwenye mapepo ! Ndugu kidogo nikimbie lakini kwakuwa alikuwa mzuri nilijikaza nikafanya na ile hali naona ilizidi ninavyo endelea mara anagagalala mikono anarusha huko anaongea manenoambayo siyajuhi eehhh! Nilikomaa baadaye nikaw mshindi .

Eeeeheeee! Ilikuwa hatari usiombe ukutane naye unaweza kukimbia kama huna roho ngumu. Baadaye ndo akanimbia hiyo hali yake ndo maana alichukua muda kunikubalia . Huyu msichana ni mzuri na ametushumbua sana wizarani kwetu da!
umalaya wako utakuja nyonywa damu wewe
 
Naona wewe unambeep popobawa!Shauri yako akianza kukutembelea usiku.
 
vizuri kama umefanikiwa mumgegeda...ndio raha ya dunia yenyewe hiyo.....
 
Anza kujiandaa kuota ndoto za mang'amung'amu hapo ndo utajuta ..........................!:A S 39:
 
huna ujanja wewe lazima alikuachia mapepo mengine(amini usiamini), wewe jifanye mjanja wakati tayari umeshakuwa connected na mtandao wa kishetani. pole sana KWA UJINGA WAKO!! TENA UNAJISIFU BILA AIBU!.
 
omba tena game tuone itakuwaje......m waitng for the ripot au utani:A S 39:
 
Umeona kusema wizara utaonekana mjanja, wakati kila mtu yupo wizarani.

Mkulima kule kijijini yupo wizara ya kilimo.
Wafugaji wa loliondo wako wizara ya mifugo.

Wapiga debe wako wizara ya vijana na ajira.

Mimi mwenyewe nipo wizara ya mambo ya ndani.

Au ulitaka tujue upo wizarani?
 
Ukiona umepata ugonjwa wa kifafa usitafute mchawi
 
jamani, jana ilikuwaf ni hatari kidogo nikimbie pale nilipo lodge na mshina aliyenisumbua kwa muda mrefu sana ,tulipo fika chumbani hali yake niliona ikaanza kubadilika kama mtu mwenye mapepo ! Ndugu kidogo nikimbie lakini kwakuwa alikuwa mzuri nilijikaza nikafanya na ile hali naona ilizidi ninavyo endelea mara anagagalala mikono anarusha huko anaongea manenoambayo siyajuhi eehhh! Nilikomaa baadaye nikaw mshindi .

Eeeeheeee! Ilikuwa hatari usiombe ukutane naye unaweza kukimbia kama huna roho ngumu. Baadaye ndo akanimbia hiyo hali yake ndo maana alichukua muda kunikubalia . Huyu msichana ni mzuri na ametusumbua sana wizarani kwetu da!

hayatuhusu.
 
Jamani, jana ilikuwaf ni hatari kidogo nikimbie pale nilipo lodge na mshina aliyenisumbua kwa muda mrefu sana ,tulipo fika chumbani hali yake niliona ikaanza kubadilika kama mtu mwenye mapepo ! Ndugu kidogo nikimbie lakini kwakuwa alikuwa mzuri nilijikaza nikafanya na ile hali naona ilizidi ninavyo endelea mara anagagalala mikono anarusha huko anaongea manenoambayo siyajuhi eehhh! Nilikomaa baadaye nikaw mshindi .

Eeeeheeee! ilikuwa hatari usiombe ukutane naye unaweza kukimbia kama huna roho ngumu. Baadaye ndo akanimbia hiyo hali yake ndo maana alichukua muda kunikubalia . Huyu msichana ni mzuri na ametusumbua sana wizarani kwetu da!

Huyo ana mzuka mkubwa sio mapepo hayo
 
Pole maana tayari umejiunganisha na ulimwengu wa kipepo. Nenda kaombewe mapema kabla matokeo hayajaanza kuonekana
 
hahaa huyo huenda alipagawa tu na malovee ila sio pepo.. kwa taarifa yako hata kama mwanamke ana pepo au ana pepo wa ngono hua hawapandagi wakati wa gem
 
Back
Top Bottom