nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 936
Kwa miaka yote hiyo sizani kama utakua salama.by the way me nauza sanda karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
sikulaumuhata kidogo mkuu,dunia inaangamia kwa kukosa maadil,tukirudi kwa mungu haya yote hayatakuwepo,unaweza kuchangia damu tu lakini baadaye inatupwa maana unakuwa umeendaa kuchangia sio kupima afya!mkuu usijifanye kama upo smart sana,haya yamenikuta ila na wewe siku yako inakuja hasa kama una aamini ukiwa kwenye ndoa ndio utakuwa salama,nimekiri makosa yangu,lkn pia kuishi nae miaka 3 nilimaanisha kuwa nae kwenye mahusiano,sikuwa sawa kipindi naandika,nilipanga kuanza kuishi nae baada ya ndoa,naomba usinihukumu hasa kama bado upo hai,lolote nawe laweza kukutokea,tena huwenda likawa baya zaidi ya hili la kwangu,kinachonipa moyo ni kwamba wiki tatu zimepita kuna mdogo wa rafiki yangu nilimtolea damu,na nahisi hadi wakaniruhusu nitoe inamaanisha ilikuwa salama,kesho ndio siku ambayo tajua mbivu na mbichi,nahisi kwa sasa nahitaji faraja zaidi na si kejeri,hii ishu haina mwenyewe,tuombe uzima kesho nitarejesha nitakachotoka nacho maabara...all in all nimefarijika sana kwa wana JF wengi kwa kuwa watu dynamic,mnajua jambo la utani na jambo ambalo ni serious,imenipa moyo sana na narudia kushukuru kwa wote mliooonyeshwa kuguswa na tatizo langu,ki`zaidi mlionifuata PM na kunipa msaada wa mawazo na kila kitu...
Siyo kila mtu lazima atoe ushauri humu JF.Kwa miaka yote hiyo sizani kama utakua salama.by the way me nauza sanda karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
kinachonipa moyo ni kwamba wiki tatu zimepita kuna mdogo wa rafiki yangu nilimtolea damu,na nahisi hadi wakaniruhusu nitoe inamaanisha ilikuwa salama
Kwa miaka yote hiyo sizani kama utakua salama.by the way me nauza sanda karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaozaliwa nao ukimwi hua tofauti sana naongea hili kwa sababu nimelishuhudiaDuuh! mkuu,huyo mpenzi wako sidhani kama alizaliwa nao halafu hakujua,mi nina uhakika kama kweli alizaliwa nao itakiaje afike umri wa kiutu uzima kabisa asiwe anatumia hata ARVs,huyo mtu ana kinga ya namna gani hadi asinyong'onyezwe..,na vilevile wakati anaenda kliniki inamaana hakuwahi kupima?
Aache ukatili ameshakuua tayari,na mbaya zaidi umenikumbusha kifo cha binamu yangu aliyekua kaathirika,amezikwa juzi tu,HIV is real.
Sent using Jamii Forums mobile app
takutafuta kesho mkuu,nashukuru...kesho nikiamka nitaenda hospital kumcheki huyo mwanamke ameamkaje then nikitoka hapo naenda kupima,majibu nitakayoyapata nitayaweka hapa wakuu,nasisitiza tuwe makini,mjifunze kutokupitia niliyopitia mimi,hata kama bado sijajua majibu yatakavyokuwa hiyo kesho..Aise pole. Hiyo ni mojawapo ya machungu ya dunia hii. Bado una nafasi ya kuishi na kufanikiwa katika ndoto za maisha. Nenda kapime, pia kubali matokeo utakayo ambiwa. Sasa usisahau kutumia condom unapokutana na mkeo au mwanamke mwingine.kwa Ushauri zaid nitafute kwa 0752640448
Sent using Jamii Forums mobile app