Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,972
- 6,245
Kama signature yako inavyo jieleza mkuu..."Pambana na hali yako"
Na kaa ukijua kuambukizwa virusi sio mwisho wa maisha, maisha lazima yaendelee.
Binafsi nina mfahamu mtu ambaye huu ni mwaka wa 15 toka athirike na ana dunda tu.
Man up usimtenge mkeo, fanyeni maisha.
Na kaa ukijua kuambukizwa virusi sio mwisho wa maisha, maisha lazima yaendelee.
Binafsi nina mfahamu mtu ambaye huu ni mwaka wa 15 toka athirike na ana dunda tu.
Man up usimtenge mkeo, fanyeni maisha.