Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

Hivi mkeo hapendi sokoni, salon, au kimatembezi yake binafsi? Hawezi kukaa sehemu ana hamu na kitu fulani, huu ndio unafki wenu wanaume
Kuperuzi na kudadisi haitakiwi mpaka uone kwa macho na kushuhudia ndio maanaa mahakamani hakunaga ushaidi wa kusikia kuambiwa au kuhisi dada
 
Pole sana sana ila akina Dada acheni uchoyo, mbona Jogoo mmoja ana mitetea kibao? Mbuzi, Ng'ombe na wengineo, why sisi??
 
Labda anapewa ule mchezo ambao hauhitaji hasiraa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom