Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

uwiiiiiiii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
341
Reaction score
365
a3c4ba3b8cc657048d5c4a64700b8252.jpg


Habari zenu wadau wa humu,

Ushauri wa shosti wangu alinishauri kwenda katika bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula katikati hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa kwenye hiyo meza Duh! Kumbe ndio mchepuko wa mume wangu.

Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisa.

Wanaume hivi ni kwanini mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisa mwenzenu.
 
Acha utani mkuu
Kumbe unafikiri natania, anyway hakuna binadamu aliye mkamilifu, wewe unalia na hilo kuna mwingine analia na lingine, hiyo ndiyo gharama ya kile kiapo cha "shida na raha" Uvumilivu ndo sehemu yake, ukiona unazidiwa dai talaka yako (Hata Bible ina maandiko yanayoruhusu kuachana kama kama kuna UZINZI pekee).
Nb:- Usichukue uamuzi wa haraka kama hujafanya tathmini ya kutosha usije kujuta badae.
 
Back
Top Bottom