uwiiiiiiii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 341
- 365
- Thread starter
- #81
Sina tabia ya kukaa ktk mabar, hapo napoenda ni kwa Xhem wangu najiona kuwa salama ni mgeni ktk huu mkoa
Sina tabia ya kukaa ktk mabar, hapo napoenda ni kwa Xhem wangu najiona kuwa salama ni mgeni ktk huu mkoa
Hahahahahaha umenivunja mbavu aseeNdio ukome kutufuatilia fuatilia si ukae na watoto huko nyumbani
kapicha ulichobandika hapo juu ni kwamba hujaielewa ama!!
Kwa nini unapenda kula vyakula vya baa mpka ukafika level ya kuwazoea wahudumu? Kwa taarifa yako mmeo ni mstaarabu na wala hajawahi kutoka na huyo mtu, wamekuchezea mchezo, ukisusa wao wanakula!![]()
Habari zenu wadau wa humu!
Ushauri wa shosti wangu alinishauri kwenda katika bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula katikati hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa kwenye hiyo meza Duh! umbe ndio mchepuko wa mume wangu!
Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisaaa.
Wanaume hivi ni kwa nini mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisaaa mwenzenu
Mh! Tukisema nasi tujiachieWanaume tuna mambo mengi tumeumbwa kuhangaika
Danganya toto weweKwa nini unapenda kula vyakula vya baa mpka ukafika level ya kuwazoea wahudumu? Kwa taarifa yako mmeo ni mstaarabu na wala hajawahi kutoka na huyo mtu, wamekuchezea mchezo, ukisusa wao wanakula!
Huo ndio upendo? Kabla ujafa hujaumbika sasa km nimechoka kesho niwe mlemavu si ndio utakimbia, hamna upendo hapoTatizo mnatuzingua sana nyinyi wanawake. Mume akiomba mchezo mnasema mmechoka then hakuna mabadiliko yoyote, mnakosa ubunifu kwenye ndoa zenu ndio maana Mabaamed wanapata soko
Uchochezi huo! Kwa mfano, mme akigoma kwenda kupima, nini kitafuata?Mwambie mumeo mkapime kwanza kabla ya kukaa na kushangaa.. na labda mtoto/watoto.
na wewe hujachukuliwa na muuza nyama?![]()
Habari zenu wadau wa humu!
Ushauri wa shosti wangu alinishauri kwenda katika bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula katikati hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa kwenye hiyo meza Duh! umbe ndio mchepuko wa mume wangu!
Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisaaa.
Wanaume hivi ni kwa nini mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisaaa mwenzenu