Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

pole sana mamy!ni kweli hapo hisia lazima zikate !usiombe hisia zikate jaman jaman !ninkero na inaumiza unakuwa km mfungwa vile !au km unabakwa vile!ptu
 
Wanaume sawa but ukiwa haujaingia ndoa kuna mengi ya kujifunza nje ya ndoa which is advantage to you nikushauri tu penda kujifunza bila kuweka negativity about certain gender sababu hutajioa bali utakua na mwenzako
najifunza mengi tu..na sijakataa kuna wanawake wanna matatizo mengi tu ila nimezungumzia unzinzi sababu unawatafuna wanaume wengi kwenye ndoa Sao.
 
Mwanaume mjanja ni yule anayechepuka na mwanamke ambaye ni mzuri angalau anamfikia mke wake au anamzidi,lakini wanaume wanaochepuka na vinyago,wamevia akili,haziwatoshi
 
najifunza mengi tu..na sijakataa kuna wanawake wanna matatizo mengi tu ila nimezungumzia unzinzi sababu unawatafuna wanaume wengi kwenye ndoa Sao.
Siko hapa kumuweka flani mbele au ku win argument nah Mimi ni mwana ndoa ninaefurahia ndoa sasa ninaposikia matatizo ya ndoa uwa napenda kujifunza na napenda kuvaa via th

People should learn to put others first. Kuwapa wenzao vipaumbele sio kujiona wanapaswa kuwa treated as queen or king ndoa ni ya wote kila mmoja inamuhusu. Amma out thanks
 
Unajitaftia pressure tu tulia na mumeo uache kumfatilia ucje kuomba ushaur kama yule aliyewek spy software kwa ajili ya kumtruck mkewe utakufa mapema
 
wewe ameizowea papuchi yako,harufu yake,maji yake,mikao yakehuna kipya cha kutoa umemaliza je ahangaike na wewe wa nini?huo mchepuko unauza nyama kwa mumeo mkuu,na ni nyama zote mbili.
 
Pole sana ...ila kama haupo tayari kumuacha usiwe unamfatilia..ona sasa umejikuta unapata pneumonia kwenye moyo
 
a3c4ba3b8cc657048d5c4a64700b8252.jpg


Habari zenu wadau wa humu!

Ushauri wa Shosti wangu alinishauri kwenda ktk bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula ktkt hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa ktk hiyo meza Duh! Kumbe ndio mchepuko wa mume wangu!

Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisaaa.

Wanaume hivi ni kwa nn mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisaaa mwenzenu
Je ulishalusanya ushaidi wa kutosha na kufanya upelelezi wa kina wa kuweza kumtuhumu kiasi hicho?Je hayo umeambuwa au umeyaona mwenyewe? Na je ulienda kufuata nini bar wakati ww ni mke wa nyumbani!na je nyumba ulimwachia nani siku hiyo? Hebu tuanzie hapo
 
Wewe umesema ukazoeana "kupitiliza" hapo baa??
Ha ha ha!! Unakaribia kuliwa kama bado hawajakutafuna!!!
Mwanamke ukizidisha safari za baa ujue hayuko salama!!
Acha uongo wako, wanaume ndio kutwa kuokota mizoga yaani nabaki kusema hivi mnatia aibu, zamani oh mwanamke akienda salon uko lazima atafunwe bhana badirikeni tu
 
Je ulishalusanya ushaidi wa kutosha na kufanya upelelezi wa kina wa kuweza kumtuhumu kiasi hicho?Je hayo umeambuwa au umeyaona mwenyewe? Na je ulienda kufuata nini bar wakati ww ni mke wa nyumbani!na je nyumba ulimwachia nani siku hiyo? Hebu tuanzie hapo
Hivi mkeo hapendi sokoni, salon, au kimatembezi yake binafsi? Hawezi kukaa sehemu ana hamu na kitu fulani, huu ndio unafki wenu wanaume
 
pole sana mamy!ni kweli hapo hisia lazima zikate !usiombe hisia zikate jaman jaman !ninkero na inaumiza unakuwa km mfungwa vile !au km unabakwa vile!ptu
Naona km napakwa uchafu, unajua kuna dada aliniambia amefika sehemu hawezi kufanya romance na mumewe sikumuelewa, tena akaniambia alipogundua mumewe ana mchepuko akamwambia waende kupima magonjwa kwanza, nilichogundua ni kwamba unaweza ktk ndoa ukafa hivi hivi kwa presha na ukimwi huku unajiona
 
Hiv umesema huyo mchepuko ni mkubwa ee!!?, baasi mumeo ana vinasaba vya u benten.

Anza kumuhonga atatulia nyumbani [emoji1549][emoji1549]
 
Back
Top Bottom