uwiiiiiiii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 341
- 365
- Thread starter
- #141
Mh! Inabidi nicheke tuWe ringia uzuri, wenzako tunatafuta mnato.
Mh! Inabidi nicheke tuWe ringia uzuri, wenzako tunatafuta mnato.
Mimi nimemwaacha mke wangu kwa umalaya wewe unasbiri kufa.Bwana wa kushare Mh! Malaya ni malaya tu
Jinsi tunavyoishi ni km tumeachana tuMimi nimemwaacha mke wangu kwa umalaya wewe unasbiri kufa.
Basi ni wewe tu...Jinsi tunavyoishi ni km tumeachana tu
Huwezi ukafanyiwa vyote hivi ukawa kawaidaBasi ni wewe...
Basi ni wewe tu...Huwezi ukafanyiwa vyote hivi ukawa kawaida
Najua sanaa tuuHuwezi ukafanyiwa vyote hivi ukawa kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yan umeamua kunileta huku mke wangu si tungeyaongea tuu tuyamalizia kifamilia [emoji22][emoji22]
Kama mimi unipe masharti hayo, nakupotezea tu. Utaomba msamaha mwenyewe!Kupima lazima
Natoa dawa za kurudisha mwanaume /mke au ndoa iliyofalakanika. Kalibuni sana.Ningekuwa nayo povu lingenitoka?
Ukikataa lazima utakuwa naoKama mimi unipe masharti hayo, nakupotezea tu. Utaomba msamaha mwenyewe!
Je, utaondoka au utasubiri nianze kukohoa unicheke?Ukikataa lazima utakuwa nao
pov loading.....................![]()
Habari zenu wadau wa humu,
Ushauri wa shosti wangu alinishauri kwenda katika bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula katikati hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa kwenye hiyo meza Duh! Kumbe ndio mchepuko wa mume wangu.
Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisa.
Wanaume hivi ni kwanini mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisa mwenzenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hapo utakuwa umeshakimbiwa na mchepuko yote, hapo ndio tunaonekanaga wa muhimu.Je, utaondoka au utasubiri nianze kukohoa unicheke?
Aiseeeeee! Kila kitu upangwa na Mungu, aende tuNatoa dawa za kurudisha mwanaume /mke au ndoa iliyofalakanika. Kalibuni sana.
Swali ni utabaki au utakimbia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hapo utakuwa umeshakimbiwa na mchepuko yote, hapo ndio tunaonekanaga wa muhimu.
Kwanza nataka nikwambie kitu, Leo ukiwa na ukimwi unaweza kuishi maisha marefu sana kuna magonjwa mengine unaambiwa una miezi minne tu unakuta, japo hatuombi mtu apate hata malaria lakini kwa nn basi usichukue taadhali?Swali ni utabaki au utakimbia?