Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

Nimekutana na mchepuko wa mume wangu

1. ililithibitike neno hilo je ulipata ushuhuda wa watu wangapi?
2. nildhania umewakama live labda wako hotel ama guest!
3. nilidhania umewakama wakibusu
mama hao waliokwambia weshakujua wanataka wakuharibie ili ukimbie wapige kambi!! kalagabaho!!
 
First thing first jiulize kwanini anachepuka? Pili ukishajua shida iko wapi sasa tafuta suruhu ya tatizo

Ukiwa mlalamikaji pekee bila kutafuta sababu haitasaidia kitu kwa kweli tafuta chanzo cha tatizo kisha deal nacho
 
a3c4ba3b8cc657048d5c4a64700b8252.jpg


Habari zenu wadau wa humu!

Ushauri wa Shosti wangu alinishauri kwenda ktk bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula ktkt hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa ktk hiyo meza Duh! Kumbe ndio mchepuko wa mume wangu!

Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisaaa.

Wanaume hivi ni kwa nn mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisaaa mwenzenu
Endelea kulalama ivo ivo mpaka siku unakutwa namatatizo unalalama ivo ivo.
 
First thing first jiulize kwanini anachepuka? Pili ukishajua shida iko wapi sasa tafuta suruhu ya tatizo

Ukiwa mlalamikaji pekee bila kutafuta sababu haitasaidia kitu kwa kweli tafuta chanzo cha tatizo kisha deal nacho
huwa mnawaona wanawake walalamishi ila wanaume wa kitanzania unzinzi mmeuweka mbele sana .wanaume za watu wachafu sana
 
huwa mnawaona wanawake walalamishi ila wanaume wa kitanzania unzinzi mmeuweka mbele sana .wanaume za watu wachafu sana
Kuna kitu hujaelewa kwenye hoja yangu. Sawa wanaume wachafu sana but sio wote ni wa hivyo mwenye jukumu la kufanya ndoa yako kua salama ni nyinyi wawili.

Sipendi kuona ndoa inatukanwa sababu sio chuo cha mchepuko ndoa ni bless aisee ikikushinda aiza haukua tayari kwa ndoa au zipo unsettled reasons
 
Pole Dada,hakuna mkamilifu,hata wewe una matatizo ila ni siri yako, anza wewe kubadilika kwa kutomuaibisha mumeo,pia mjali na umuoneshe mapenzi ya dhati,utaona kama hatabadilika.
 
Matatizo ni kama Makalio kuna madogo kuna makubwa lakini hakuna ambae hana kabisa....

kumbuka hilo....[emoji109]
 
Kuna kitu hujaelewa kwenye hoja yangu. Sawa wanaume wachafu sana but sio wote ni wa hivyo mwenye jukumu la kufanya ndoa yako kua salama ni nyinyi wawili.

Sipendi kuona ndoa inatukanwa sababu sio chuo cha mchepuko ndoa ni bless aisee ikikushinda aiza haukua tayari kwa ndoa au zipo unsettled reasons
Mfano km mm kwa uzinzi hivi sitaweza kabisaaa najiona wazi
 
Kuna kitu hujaelewa kwenye hoja yangu. Sawa wanaume wachafu sana but sio wote ni wa hivyo mwenye jukumu la kufanya ndoa yako kua salama ni nyinyi wawili.

Sipendi kuona ndoa inatukanwa sababu sio chuo cha mchepuko ndoa ni bless aisee ikikushinda aiza haukua tayari kwa ndoa au zipo unsettled reasons
uko sahihi !!!ukweli mchungu ndoa nyingi za kitanzania zinavunjwa na Tamaa za wanaume..mazingira ya Kukaa na wazazi wajumbe yamesababisha nimejua matatizo mengi ya ndoa kabla sijawa mwanandoa.
 
a3c4ba3b8cc657048d5c4a64700b8252.jpg


Habari zenu wadau wa humu!

Ushauri wa Shosti wangu alinishauri kwenda ktk bar mume wangu anayokaa, nikaamua kwenda kula ktkt hapo na kujaribu kuwazoea kupitiliza, siku moja nikaenda nikamkuta muuza nyama amekaa na mdada kwa jinsi nilivyomzoea nami nikakaa ktk hiyo meza Duh! Kumbe ndio mchepuko wa mume wangu!

Jamani nilichoka sana nikaishia kumuangalia tu, kwa uchunguzi niliyofanya kwanza anatembea na muuza nyama, na pia ana bwana mwingine hapo rafiki wa muuza nyama, ni mdada yule kuchukuliwa na wanaume wa bar ndio zake, niligundua ni mtu mzima sana nilishangaa na kushindwa kumuelewa mume wangu kabisaaa.

Wanaume hivi ni kwa nn mnapenda kujidharaulisha hivyo? Kibaya bar nzima inajua, nimezidi kupoteza hisia kabisaaa mwenzenu


Nyumbani kila siku si umechoka bwana! haya msaidizi huyo
 
Wewe umesema ukazoeana "kupitiliza" hapo baa??
Ha ha ha!! Unakaribia kuliwa kama bado hawajakutafuna!!!
Mwanamke ukizidisha safari za baa ujue hayuko salama!!
 
uko sahihi !!!ukweli mchungu ndoa nyingi za kitanzania zinavunjwa na Tamaa za wanaume..mazingira ya Kukaa na wazazi wajumbe yamesababisha nimejua matatizo mengi ya ndoa kabla sijawa mwanandoa.
Wanaume sawa but ukiwa haujaingia ndoa kuna mengi ya kujifunza nje ya ndoa which is advantage to you nikushauri tu penda kujifunza bila kuweka negativity about certain gender sababu hutajioa bali utakua na mwenzako
 
Back
Top Bottom