Nimekutana na malaika

Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Kama chura anaye hamna cha kushangaa, oa.@khantwe mama ushauri huyo anakufaa wewe akuweke kwenye right track.Ngoja nimcheki kwenye simu..
Hahaa hapo kwa @khante nimecheka sana

Mtafute Wick aisee
 
Kama umezoea kukutana na vicheche siku ukikutana na paka huwezi amini ka kuna kicheche aliyetulia akiona kuku wako. Utasema, labda kashiba leo lakini oumbe; Kicheche na paka wote jamii yao moja. Tofauti ni majina na namna ya kutafuta mlo.
Ngoja kwanza, ahakikishe kuwa amepata hati miliki (Ndoa) ndiyo uje hapa JF na majigambo yako. Ila kwa sasa, endelea kula mzigo tena ule hadi uweke akiba kwani siku sio nyingi utajahadithia.
Usiogope kuja kutueleza, hakuna kuchekana humu bali kuthibitishiana na kufundana.
Umemalizia vizuri " asante
 
Umewahi kuvundika tunda?yaani unaangua afu unaliwwka ukisubiri liive?
Basi vuta subra....invoice utakayopigwa itakusababisha uchukie kabisa usipokua makini!JISHIKILIE BRUV.
 
Sio umalaika anakupenda anakua anaomba wenzio. Nina rafiki yangu alikua na bf. Hajawahi muomba hata 100. akienda kufungasha mzigo wake anamnunulia bf kila kitu. Mpaka kodi ya bf anamsaidia. Bf akilia shida dakika yoyote kama hana atakopa ampe na hamdai. Kumpa bwana ake hata 1M alikua hajali. Anampa bf wake gari yake yeye anapanda tax siku nyingine. Lakini vitu ambavyo bf alikua hafanyi vya kipesa walikua wanafanya wenzie. Sasa kama anakucheat asikufanye ujisikie vibaya sababu huna cha kuoffer zaidi ya dyudyu sijui tuendelee kumuita malaika? Kama mwanamke wako mhangaikaji kama kina sie na hakuombi hela jua kabisa wapo wenzio wanatoa wanyumbani. Kuna muda ana shida hata na elfu 2 ilaa anajua huna hakuombi.
Usimkatishe tamaa, wanawake wenye tabia nzuri wapo si wote wadangaji yawezekana katika hao wazuri huyo ndiye mmoja wapo
 
Kwa hiki ulichokiandika kwanza nakupa pole sana, nyie ndo wanaume washabiki wa wanawake kama watu walivyo washabiki wa mpira wakati wao hawachezi. Hivi mwanamke kutokuambia mahitaji yake ndo unaona umepata malaika / jini?

Nakupa ushuhuda wa kweli .. jamaa yangu alipata mke wa hivyo, hata siku moja hakuwahi kuambiwa lolote. Mwanamke alijitahidi hadi akanunua kiwanja na kuandika documents Mr. & Mrs, jamaa akawa amevimba kichwa. Mwanamke akapata hela nyingine akajenga mjengo mwingine sehemu nyingine. Mwanamke akanunua gari akamkabidhi mwanaume - mwanaume akawa sasa anaonekana big boss ila ukweli tukijua kuwa hela sio zake.

Siku ya siku alikuta nyumba iko wazi; mwanamke ameamia nyumba mpya. Mwanaume kuuliza kulikoni - aliambiwa umefika wakati wa kila mtu kujitegemea. Mwanamke aliondoka na watoto wake + gari nyumbani aliacha documents za nyumba na ndoa basi.

Hadi naandika haya; huyo jamaa yuko kama kachanganyikiwa.
 
Kuhusu ku-cheat " hayo ni Masuala mengine mzigua ....iwe unampa chochote au haumpi " anaweza aka cheat tu " .... huwa nina desturi Moja sipendi kumuhukumu mwenzangu katika hilo wakati waweza kukuta mimi mwenyewe ni msaliti "...

Huwa sipendi kujipa fikira hasi pia " hii huwa Inanisaidia sana kuniepusha na migogoro isiyo na tija katika maisha yangu

Upo mkuu " ??
Furahia kizuri upatapo usisubilie kibaya ndiyo uanze kujuata anzia hapo hapo kwenye mema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom