Nimekutana na malaika

Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Hili. Nalo ni tatizo kubwa Sana " haswaa unapokutana na mwanamke ambaye ameamua kuyaendesha maisha yake kwa kupitia kiungo chake nyeti cha mwili ".... uzi kama huu lazima ataipinga vikali sana
Ndiyo hivyo, hujawahi ona familia nyingine mgeni akifika watoto mpaka waombe hela hapo wakikuwa ni hivyo hivyo umatonya
 
Pengine ana lijamaa linalomhudumia pembeni lina mke na watoto
lakini nikukumbushe tu kitu ki1... unaweza dhani hakuombi hela ukasema huyu ndiye.. kumbe masikn ya Mungu kakuona apeche alolo anakosa ht ngv ya kukuomba..lazima apige kimya! so be warned!na ww sasa jitahd uwe na pesa yako uwe km mwanamume kweli....
 
Kazi ya mwanamke asilia hii hapa .. mengine tunawaonea tu.
Mama Africa 1.jpg
 
Yeah indeed " kama hawakemewi " mazoea yao yatazaa Tabia
Ndiyo hivyo, hujawahi ona familia nyingine mgeni akifika watoto mpaka waombe hela hapo wakikuwa ni hivyo hivyo umatonya
 
Naam chief " asante sana kwa haya maneno mazuri " japo kuwa ni mafupi lakini yana maana kubwa kwangu
Sikutaka kuandika mengi as najua vile unajisikia, it feels good hasa kukutana na mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Usije kuharibu tu na micheps na hits zako. Kuna sacrifices nyingi lazima ufanye ili muwe na familia bora.
 
Hahaha kwani kuna sehemu ambayo content inasema kuwa " mwanamke ameachiwa yeye kila kitu " Aisee " humu kuna watu ni wagumu wa kuelewa sijapata kuona
Hii hali huwa inaanza hivyo; hapa wako kwenye uchumba (miezi 3); wakiingia kwenye ndoa kamili hali hii itaendelea tu ya kujua kuwa mwanamke haombi chochote. Endelea kutetea mabaya;
 
Hii hali huwa inaanza hivyo; hapa wako kwenye uchumba (miezi 3); wakiingia kwenye ndoa kamili hali hii itaendelea tu ya kujua kuwa mwanamke haombi chochote. Endelea kutetea mabaya;
Suala sio yeye kuomba kitu tu " mkuu " bali nikuwa mwanamke mwenye tabia njema ambazo wengine walio wengi hawanazo".... mimi nikiwa kama gentleman sipaswi kusubiri kuombwa " napaswa kutimiza wajibu wangu " wakumuhudumia mwanamke ipaswavyo kwa sababu " kumuhudumia mwanamke " ni wajibu kwa mwanaume "

Mtoa mada ni Mimi mkuu"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom