Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,052
Ndiyo hivyo, hujawahi ona familia nyingine mgeni akifika watoto mpaka waombe hela hapo wakikuwa ni hivyo hivyo umatonyaHili. Nalo ni tatizo kubwa Sana " haswaa unapokutana na mwanamke ambaye ameamua kuyaendesha maisha yake kwa kupitia kiungo chake nyeti cha mwili ".... uzi kama huu lazima ataipinga vikali sana
... unaweza dhani hakuombi hela ukasema huyu ndiye.. kumbe masikn ya Mungu kakuona apeche alolo anakosa ht ngv ya kukuomba..lazima apige kimya