Nimekutana na malaika

Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Et kuitawala mbingu na ardhi ....

Ahahaha mtani umenichekesha sana ...

So unanitawala hadi mimi ..
Ahaha mkuu bwana ...

Ila sio mbaya ...

Nipe namba yake
 
Ndio maana ulinipiga chini kijinga jinga wakati nilikuwa nafanya tu mazoezi ya kuja kukupa raha jamani!!
Binafsi huwa nashangaa mwanaume kulalamika.

Kama wewe ndiye ulimtongoza mwanamke na unampa huduma sasa ukiskia kaharufu tu kakukusaliti si unapiga chini?

Labda mke ndiyo kazi kupiga chini kijinga jinga.
 
Piga magoti tusali.
True love ipo....

Wanawake 'wema' wapo wengi tuu.

Kabla ya kuomba mke au mume mwema kwanza tuangalie njia zetu.

Ni vigumu saana ukiwa unachezea mabinti hovyo hovyo nawewe kupata kilicho chema. Vilio na machozi yao vinakurudia.

Namna pekee yakupata kilicho sahihi ni kuishi maisha ya utakatifu huku ukimuomba Mungu akuoneshe kilicho chema.

Mtoa mada fanya sasa kujipanga umchumbie umuoee huyo binti.
 
True love ipo....

Wanawake 'wema' wapo wengi tuu.

Kabla ya kuomba mke au mume mwema kwanza tuangalie njia zetu.

Ni vigumu saana ukiwa unachezea mabinti hovyo hovyo nawewe kupata kilicho chema. Vilio na machozi yao vinakurudia.

Namna pekee yakupata kilicho sahihi ni kuishi maisha ya utakatifu huku ukimuomba Mungu akuoneshe kilicho chema.

Mtoa mada fanya sasa kujipanga umchumbie umuoee huyo binti.

bora leo mmeamua kusema ukweli... huwa nawashangaa sana aisee
 
Sijui nani aliwadanganya kuwa tukiwaomba pesa basi hatuwapendi!!!!
hearly tatizo lenu msipoombwa hela mnaenda kutoa kwingine, mna ile self esteem pride.

Kuombwa pesa si tatizo, inategemea na pesa ya nini mimi siwezi omba pesa ya saloon, sijui nguo ila nkiomba pesa ni kwa ajili ya mambo ya maendeleo.
 
Wanafikiri tunapoomba ni kazi ndogo, tumejitoa kweli. Wasioomba wanaugulia tu kimya kimya ila wanataka na ukiwapa hawakatai. Hivyo wawe wanajiongeza tu.

mie siwez na sipend kuomba ila ukinipa nashukuru mno mno! ila nikikuona ww mbinafsi nitakushangaza!sipend men mbinafsi kwasabb mm ubinafs siuez..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom