dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,193
- 4,304
kuna wale wanaoamini hata ibilisi alikuwa malaika.
Muache wakunyumba bwana
Hahaha aisee " naona mada imesha change watu mmeona hilo tu lakutoombwa pesa... hivi mtu akisema jamii fulani ina mmong'onyoko wa maadili wewe unaelewa nini !!?
Kwa hiyo unasemaje zaid mkuu !!?Wanawake wengi wa kidot.com wanaish kisanaa zaidi kuliko Uhalisia
IndeedOne in a Million
Ahsante mkuuhongera sana mkuu...
Aisee kabisa mkuuYou should keep her
Hahaha zama deep uelewe mantiki ya heading Kwanzaa"lakini nikukumbushe tu kitu ki1... unaweza dhani hakuombi hela ukasema huyu ndiye.. kumbe masikn ya Mungu kakuona apeche alolo anakosa ht ngv ya kukuomba..lazima apige kimya
! so be warned!na ww sasa jitahd uwe na pesa yako uwe km mwanamume kweli....
Kwakweli ndio najionea sasa ..hao waliopo wanapaswa kutunzwa na serikali haraka Sana kabla hawajatowekakufake km kote!sidhan ..naudhika mnavyogeneralize kuwa wanawake wanawapiga mizinga...sio kweli ht kidg..kuna watu wazito sana kuomba omba hela mkuu
Hahaha zama deep uelewe mantiki ya heading Kwanzaa"
Kama anajua kuwa sina hela then still ananionyesha upendo wa kiwango cha lami " Basi huo ndio umalaika wenyewe mkuu
Ni hivi " mtu/ watu wana stahiki kusifiwa pale wanapotenda jema/ mema " hii huchangia kuwapa hamasa ya kufanya vizuri zaidi na wengine kuwaiga ...Wakati ni mwalimu, OA kisha rudi baada ya mwaka, utakelwa tu hata kwa kuhisiwa wakati haupo uko
@daby kuna sehemu yeyote niliyo lalamika mkuu "...!!! Acha visaBinafsi huwa nashangaa mwanaume kulalamika.
Kama wewe ndiye ulimtongoza mwanamke na unampa huduma sasa ukiskia kaharufu tu kakukusaliti si unapiga chini?
Labda mke ndiyo kazi kupiga chini kijinga jinga.
Hahaha " dini yangu Inaniruhusu kuoa wanawake wanne " so usijali nafasi yako bado ipo pale paleHongera sana mkuu tuliokuwa tunakunyemelea tuandike maumivu
Hahaha zama deep uelewe mantiki ya heading Kwanzaa"
Kama anajua kuwa sina hela then still ananionyesha upendo wa kiwango cha lami " Basi huo ndio umalaika wenyewe mkuu
Sawa mkuuKama umemkubali kiivyo OA haraka achana zinaa
Hahaa ndio mawazo yako yalipoishia polePoint kubwa niliyo ona kwenye huu uzi wako ni kwamba huyo mwanamke wako hakuombi hela.
NB:
Zingatia kisa cha Delila na Samson.
Aisee " haya bwanaHongera kamanda kwa shemeji kumiliki gari
Sina uzoefu wowote mkuu " ndio kwanza nimetoka sitimbi kuja town mwezi uliopita ..nime mfuata baby mama " darUnauzoefu gani katika kuwafahamu wanawake......?
Aaamin aamin mtumishi " maneno adhimu kabisa haya " nitazingatia huu ushauri ngoja niuhifadhi katika diary kabisa aiseeTrue love ipo....
Wanawake 'wema' wapo wengi tuu.
Kabla ya kuomba mke au mume mwema kwanza tuangalie njia zetu.
Ni vigumu saana ukiwa unachezea mabinti hovyo hovyo nawewe kupata kilicho chema. Vilio na machozi yao vinakurudia.
Namna pekee yakupata kilicho sahihi ni kuishi maisha ya utakatifu huku ukimuomba Mungu akuoneshe kilicho chema.
Mtoa mada fanya sasa kujipanga umchumbie umuoee huyo binti.