Nimekutana na malaika

Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Mwanaume kuelezea hisia zake kiasi hiki ni awe ameguswa haswa kwa ulivyojitanabaisha kua ni mgongaji msepaji. Natumaini haujakosea, na nakutakia kila la heri.

One more thing ulimpata mitaa gani na mimi nikashinde huko? Uanaume ni kusaidiana
Aisee .. Wick ndiye aliyenikutanisha nae _ fanya. Mpango umcheki akupigie pande na wewe pia
 
Key word: kuombwa ombwa hovyo. Halafu unaona kabisa sio kwamba mtu ana shida anataka tu akukomoe.
Hahaha hakuna anayependa kuombwa ombwa pesa hovyo aisee ".... kuna siku Mama Sabrina aliombwa 10k tu huko na member wa Jf " daahh aliliporomosha gazeti humu limejaa kichambo cha kufungia mwaka wacha wamchambe jamaa wawatu " hahaaa " Imagine 10k tu imezua taharuki na kuifanya mpaka jf ikasimama " ...what if ingekuwa 100k !!?
 
Ni kweli mwaya we chukua kile unachokiona, kama kuna mengine nyuma ya pazia itajulikana tu. Siku zote mimi huwa napenda kuwaza positive...nachukua kile anachonionesha
Ahsante sana mkuu " barikiwa ..huwa nape da kuwaza positive pia
 
Ndio mama. Anaweza kuwa hakupi nyingi ila akikupa unapata furaha na amani kuliko akupe mtu usimpenda.
But nikuchallenge kidogo binamu!
Mpenzi wako kukuomba hela sio sign ya kutokukupenda, and the vice versa is true!
I for one, sishindwi kufanya chochote ninachotaka miongoni mwa ninavyoombea hela!
Naona tu raha kupewa hela na mwanaume wangu!
Nisipoomba doesn't mean sitaki kukuomba, wakati Fulani najua huna na its been tight with you!
lakini naweza nikaibuka vile vile nikakupiga msumari!
SO USIMIX VITU HAPA BINAMU!
all in all hongera sana!
 
Key word: kuombwa ombwa hovyo. Halafu unaona kabisa sio kwamba mtu ana shida anataka tu akukomoe.
Yeah madame " thats why nakukubali " huwa haupendi kuukanyaga ukweli ili usionekane " if ikiwa nyeupe unasema hii ni nyeupe " ikiwa nyeusi utasema hii ni nyeusi pia
 
But nikuchallenge kidogo binamu!
Mpenzi wako kukuomba hela sio sign ya kutokukupenda, and the vice versa is true!
I for one, sishindwi kufanya chochote ninachotaka miongoni mwa ninavyoombea hela!
Naona tu raha kupewa hela na mwanaume wangu!
Nisipoomba doesn't mean sitaki kukuomba, wakati Fulani najua huna na its been tight with you!
lakini naweza nikaibuka vile vile nikakupiga msumari!
SO USIMIX VITU HAPA BINAMU!
all in all hongera sana!
Hahaha binamu kwanza asante kwa kuchangia " .. essay yangu Inajipambanua kwamba mahusiano ya sasa mengi yanadhoroteshwa "na ukosefu wa maadili " kiasi kwamba inapelekea mahusiano mengi kuvunjika " .... sentensi hii mmong'oko wa maadili" nimkusanyiko wa tabia mbali mbali hasi ambazo hazistahiki katika jamii (kuombwa hela hovyo bila mpango ni sehemu moja wapo ya mmong'onyoko huo ").... mbona topic imejipambanua vyema " sitaki kuamini kwamba haujauona msamiati huu Mmong'onyoko wa maadili ambao unapatikana katika hzi jinsia zote mbili "

Nashangaa watu wamejikita kwenye View Moja tu ya kuombwa hela wakati kuna sentensi ambayo imewagusa hata wale ambao hawana Kauli nzuri kwa wenzawao "

Ama kweli pesa ni kisanga ..haha
 
Hahaha hicho ndio kigezo changu cha kwanza chief.

.nakuomba kwetu usikanyage Aisee ... sintotaka kuona tunagombana ndugu
Kama chura anaye hamna cha kushangaa, oa.
Hahaa ... sidhani kama utakuwa haujamtolea macho @kwante wewe
@khantwe mama ushauri huyo anakufaa wewe akuweke kwenye right track.
Aisee .. Wick ndiye aliyenikutanisha nae _ fanya. Mpango umcheki akupigie pande na wewe pia
Ngoja nimcheki kwenye simu..
 
Hongera binamu!
I LOOOOOVE IT !
its gud seeing people in love!
ENJOY aisee, mapenzi kitu kizuri sana! Ukipata mtu anaupa moyo wako amani ya kiwango hicho just sail bana!
TUNAISHI MARA MOJA TU!
haina REHARSAL. HAINA MARUDIO!
it is an ACTUAL PERFOMANCE!
Safi sana " Asante kwa haya maneno maridhawa
 
kuwa na mahusiano na mwanamke asiyeomba pesa ni bora kuwa peke yako kwa maana hatahamasisha kichwa changu kutafuta pesa kwa bidii kwa maana cha mmoja ni mmoja na wawili ni wawili

hongera mkuu kwa kumpata moyo uliyemridhia
Soma story vizuri " uelewe mzee mbona kama umepurukushwa toka usingizini " .... kuna msamiati unajieleza kabisa " kuwa mpenzi wangu ananishauri masuala kibao ya kuhusu uchumi " halafu bado unakuja kuongea haya maneno really " .... hivi kunishauri kwake katika masuala ya uwekezaji haitoshi kunifanya niweze kuwa mtafutaji haswaa " mpaka aniombe ombe " !!?

Hahaa JF bwana
 
Kama umezoea kukutana na vicheche siku ukikutana na paka huwezi amini ka kuna kicheche aliyetulia akiona kuku wako. Utasema, labda kashiba leo lakini oumbe; Kicheche na paka wote jamii yao moja. Tofauti ni majina na namna ya kutafuta mlo.
Ngoja kwanza, ahakikishe kuwa amepata hati miliki (Ndoa) ndiyo uje hapa JF na majigambo yako. Ila kwa sasa, endelea kula mzigo tena ule hadi uweke akiba kwani siku sio nyingi utajahadithia.
Usiogope kuja kutueleza, hakuna kuchekana humu bali kuthibitishiana na kufundana.
 
Sio umalaika anakupenda anakua anaomba wenzio. Nina rafiki yangu alikua na bf. Hajawahi muomba hata 100. akienda kufungasha mzigo wake anamnunulia bf kila kitu. Mpaka kodi ya bf anamsaidia. Bf akilia shida dakika yoyote kama hana atakopa ampe na hamdai. Kumpa bwana ake hata 1M alikua hajali. Anampa bf wake gari yake yeye anapanda tax siku nyingine. Lakini vitu ambavyo bf alikua hafanyi vya kipesa walikua wanafanya wenzie. Sasa kama anakucheat asikufanye ujisikie vibaya sababu huna cha kuoffer zaidi ya dyudyu sijui tuendelee kumuita malaika? Kama mwanamke wako mhangaikaji kama kina sie na hakuombi hela jua kabisa wapo wenzio wanatoa wanyumbani. Kuna muda ana shida hata na elfu 2 ilaa anajua huna hakuombi.
Kuhusu ku-cheat " hayo ni Masuala mengine mzigua ....iwe unampa chochote au haumpi " anaweza aka cheat tu " .... huwa nina desturi Moja sipendi kumuhukumu mwenzangu katika hilo wakati waweza kukuta mimi mwenyewe ni msaliti "...

Huwa sipendi kujipa fikira hasi pia " hii huwa Inanisaidia sana kuniepusha na migogoro isiyo na tija katika maisha yangu

Upo mkuu " ??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom