hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,522
- 73,725
Upo " abroad ...!!? Acha bangi basiii asubuhi yote hii na mapemausiku mwema.
Upo " abroad ...!!? Acha bangi basiii asubuhi yote hii na mapemausiku mwema.
usiku mwema.Upo " abroad ...!!? Acha bangi basiii asubuhi yote hii na mapema
Hangover mbaya sanausiku mwema.
hahh na siombei kuimiliki, me ni short temper sana!..Usiniambie ..haa haa .. kwa hiyo utabadilika na kuwa mbogo ..hivi ile pistol yako ulishairudisha lugalo ... Maana usije kuifanyia majaribio mwilini mwangu
Mkuu huyo oa kabisa "Yani huyu ni kama wangu kabisaaa.Tena inawezekana wako kazidiea,hadi naogopa.Akili balaa za class na Maisha.Hakuwahi niomba hata vocha,nimetest kumuwasha papuchi imeziba duuu!Kidume nimetangaza ndoa.Hakika nisipooa huyu sidhani kama nitaoa.Mungu kanipa aina ya mtu niliyekuwa namtaka.Mungu akulinde na kukuongoza my C.
Hahaa ... sasa mbona unanitisha ina maana hautaki nimzoe zoee shemejihahh na siombei kuimiliki, me ni short temper sana!..
Nilivoona huu uzi imebidi nimtext.Aisee halafu si mkubwa wa umri.lakini anajielewa snMkuu huyo oa kabisa "
Nilisahau kukupa pongezi hongera sana ... umelamba bingo
Haha nakuomba " umwambie kwamba " Mke wangu wewe ni malaika akiuliza sababu basi mtumie link ya huu uzi whatsappNilivoona huu uzi imebidi nimtext.Aisee halafu si mkubwa wa umri.lakini anajielewa sn
Hongera sana kwa kuwa. Na malaika mkuuKama wakwangu