Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
- Thread starter
- #41
nilienda store kunakazi nilikuwa naenda kufanya huko muda mrefu ,nilikuwa na maji chupa ya kilimanjarouna bahati mgomo wa madaktari umeisha.
Maana referral lazima maskani hapa muhimbili tuu.
Kama kuna haja ya kufanyiwa upausuaji ni pm fasta.
store ni kubwa kuna table nyingi sasa kuna time nikawanimeeenda upande wa pili nilivorudi nikajiskia kunywa maji nilivoweka mdomoninikajiskia kama sio maji yale niliokuwa nakunywa vile
nikiwa najiuliza nikaona ile chupa nilokuwa naitumia ,lakininilishameza yale maji mama yangu weenakufa mwenzenu