Nafikiria kama naweza kumudu msongamano wa
disemba pale home; pengine naweza kukubaliana na wewe.
Dah! mitaa ya marangu mtoni pale kcc (kama sijakosea) ghorofa la mbao, unapata pande hata la 100, pia mitaa hiyo kitu cha banana wine kimetamalakiaisee hiyo mbege mpaka nimepata kiu duh...
Dah! mitaa ya marangu mtoni pale kcc (kama sijakosea) ghorofa la mbao, unapata pande hata la 100, pia mitaa hiyo kitu cha banana wine kimetamalaki
mie kweli napapenda ila utaratibu wao wa kuchinja kizamani huwa siufagilii kwakweli yaani nyama inakanyagwa na miguu utafikiri ni sakafu?? kwann wasitundike juu khaaa!!!!!!!!!!!!
Mkuu na watoto wa Ashira tulivyokuwa tunapenda kitemboniii. Ndo ilikuwa janja ya kwenda marangu mtoni kupiga simu enzi hizo posta.
ukitaja jina la ashira huwa nakumbukia enzi zangu, shule hii ndiyo iliyonipatia jiko la ukweli! Ashiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hongera ndugu kwa kupata jiko toka Ashiraaaaaaaaaa.
ukitaja jina la ashira huwa nakumbukia enzi zangu, shule hii ndiyo iliyonipatia jiko la ukweli! Ashiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Ukienda tena unitaarifu twende wote na mie nikajipatie uhondo uliobakia Tanzania
hongera kwa kusoma ashira,
dada yangu alisoma pale,
nakumbuka nilikuwa namtembelea wakati
wa ile visitors day. Ilikuwa nzuri sana,
sijui miaka ya leo ikoje.
tafadhali wewe vipi, kama nilisoma ashira ningepataje mke kutoka ashira? Mimi ni dume la simba! Tulikuwa tukivizia kwenye uzio baadae tukasogeza home, ashiraaaa
Ha ha haa haaa
Pole mwaya
na hongera kwa kupata mke ashira
Naamini kabisa ni mke mwema sana.
Ulikuwa ukubali me kwetu mamba kotela,komakundi kisambo ndo mitaa yetu mkuu
dah hiyo nyama na mbege inahamasisha kiwatengu uko wapi na BARIKI MINJA na Mamndenyi disemba inakaribia aise jiandaeni kwenda kula nyama bana
Kotela na Kokirie juu sana