Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

bananna hii pombe unaijua ndo wanaita mbundi mbundi

Yaan nana mara ya kwanza naonja si nkasema bia gani hii tamu tu, nkapiga tano za fasta fasta, aisee nilijikuta naimba table ya kwanza hadi ya 25.
 
nguruwe.jpg na hii chakula umeisahau mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom