Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Asiekubali wachaga tuko juu lazma ana mtindio wa ubongoo..ona vitu af sasa hamjaona kulivyo na majumba mazuri
 
huu uzi nausoma mpaka nasisimka ila kwetu kuzuri sio fitna me huwa napita hapo mtoni siku hizi kimei katuwekea benki pazuri aje!!! me wa kilema asikwambie mtu bado mwezi mmoja narudi zangu kwetu mbali na mbege nimemiss kyumbo!

Hapo kwenye kyumbo ssa loo
 
Aisee mtoa mada umenikumbusha mbali sana, Marangu mtoni nilifika mwaka 2010, kulikuwa na msiba wa rafiki yangu maeneo ya Ashira. Sasa nikatafuta mwenyeji ili nifahamu kijiji kidogo basis akanipeleka Bar moja inaitwa kwa Hosea(kama cijasahau). Sasa tukatulia kaunta nikamwambia kula kilaji mpaka uchoke. Sasa kwa mazingira ya kule kuna baridi(wenyeji wanafahamu) na pale kaunta kulikuwa na muuzaji anavutia kwa kweli basi nikaanza kuleta utoto wa mjini. Duh!! kumbe ni mke wa mtu na upande wa pili mwenyeji kashanizunguka kwa zile pombe nilizokuwa namnunulia akaenda sema mimi ni mtalii nina dollar, sasa naona watu wananiangalia sana sababu kila akija na rafiki yake yoyote mimi namlipia tu. Basi nikashangaa vurugu zimeanza nimefuatwa nikapigwa ngumi nikaanguka chini, kuamka bar nzima inanifuata mimi,mwenyeji hayupo.....Aisee nitaendelea
 
Aisee mtoa mada umenikumbusha mbali sana, Marangu mtoni nilifika mwaka 2010, kulikuwa na msiba wa rafiki yangu maeneo ya Ashira. Sasa nikatafuta mwenyeji ili nifahamu kijiji kidogo basis akanipeleka Bar moja inaitwa kwa Hosea(kama cijasahau). Sasa tukatulia kaunta nikamwambia kula kilaji mpaka uchoke. Sasa kwa mazingira ya kule kuna baridi(wenyeji wanafahamu) na pale kaunta kulikuwa na muuzaji anavutia kwa kweli basi nikaanza kuleta utoto wa mjini. Duh!! kumbe ni mke wa mtu na upande wa pili mwenyeji kashanizunguka kwa zile pombe nilizokuwa namnunulia akaenda sema mimi ni mtalii nina dollar, sasa naona watu wananiangalia sana sababu kila akija na rafiki yake yoyote mimi namlipia tu. Basi nikashangaa vurugu zimeanza nimefuatwa nikapigwa ngumi nikaanguka chini, kuamka bar nzima inanifuata mimi,mwenyeji hayupo.....Aisee nitaendelea

Hahahaha, duuuh mkuu aisee hiyo ilikua kali!
 
Aisee mtoa mada umenikumbusha mbali sana, Marangu mtoni nilifika mwaka 2010, kulikuwa na msiba wa rafiki yangu maeneo ya Ashira. Sasa nikatafuta mwenyeji ili nifahamu kijiji kidogo basis akanipeleka Bar moja inaitwa kwa Hosea(kama cijasahau). Sasa tukatulia kaunta nikamwambia kula kilaji mpaka uchoke. Sasa kwa mazingira ya kule kuna baridi(wenyeji wanafahamu) na pale kaunta kulikuwa na muuzaji anavutia kwa kweli basi nikaanza kuleta utoto wa mjini. Duh!! kumbe ni mke wa mtu na upande wa pili mwenyeji kashanizunguka kwa zile pombe nilizokuwa namnunulia akaenda sema mimi ni mtalii nina dollar, sasa naona watu wananiangalia sana sababu kila akija na rafiki yake yoyote mimi namlipia tu. Basi nikashangaa vurugu zimeanza nimefuatwa nikapigwa ngumi nikaanguka chini, kuamka bar nzima inanifuata mimi,mwenyeji hayupo.....Aisee nitaendelea

aiseee JF raha mkuu endelea.......
 
mie kweli napapenda ila utaratibu wao wa kuchinja kizamani huwa siufagilii kwakweli yaani nyama inakanyagwa na miguu utafikiri ni sakafu?? kwann wasitundike juu khaaa!!!!!!!!!!!!

Ndo utamaduni wetu...Nyama isipowekwa kwenye makocha(majani ya mgomba) hupati utamu wake..
 
Kama kawa mkuu, yaan hapo wewe uwe na kisu chako tu. Nyama zinachomwa zinachomekwa kwenye miti wewe ni kukata na kula!

Maini yanazungushiwa kwenye ile fat layer ya utumbo yanachomwa...Hiyo anakuka mzee wa boma anaweza akawagaia wengine...
 
huu uzi nausoma mpaka nasisimka ila kwetu kuzuri sio fitna me huwa napita hapo mtoni siku hizi kimei katuwekea benki pazuri aje!!! me wa kilema asikwambie mtu bado mwezi mmoja narudi zangu kwetu mbali na mbege nimemiss kyumbo!

Krismasi imeshaanza kunukia..Ngoja tusake kwanza..
 
Kweli Marangu kuna ukarimu sana. Ukikutana na mtoto hata yule asie wako atakwambia shkamoo mama, au kama mwanaume baba, pole na kazi. Ila Dar hakuna hiyo kitu kwanza hata watu wapo kimaslahi zaidi.
 
Ndio ustarabu we2 lazma uchinjie mbuzi kwenye makocha y mgomba,hpo pembeni lazma mbege kwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom