Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Hapana hiyo picha ya nyama iko chini ni migombani ambapo wanakaa wazee wa ukoo wanakula nyama na supu, haruhusiwi mwanamke kwenye hii!

kweli man mwanamke hasogei hapo nyama zao huwa wanaenda kulia jikoni. umenikunimbusha mbaaaaaaaali!
 
kweli man mwanamke hasogei hapo nyama zao huwa wanaenda kulia jikoni. umenikunimbusha mbaaaaaaaali!

Kama kawa mkuu, yaan hapo wewe uwe na kisu chako tu. Nyama zinachomwa zinachomekwa kwenye miti wewe ni kukata na kula!
 
Aise donlucchese umenikumbusha mbali sana. Miaka ya 1995-1996 wakati huo nafanya kazi Marangu Hospital (Kitemboni) - first appointment!

Baada ya kazi na siku za weekend mie na mshkaji wangu tulikuwa tunachukua totoz za Ashira Girls na Marangu TTC!🙂🙂🙂

....nitarudi siku moja!
 
Last edited by a moderator:
Duuuh umenikumbusha homeee njia ya kwenda kilasara na kitembonii...eee maee!!
 
Aise donlucchese umenikumbusha mbali sana. Miaka ya 1995-1996 wakati huo nafanya kazi Marangu Hospital (Kitemboni) - first appointment!

Baada ya kazi na siku za weekend mie na mshkaji wangu tulikuwa tunachukua totoz za Ashira Girls na Marangu TTC!🙂🙂🙂

....nitarudi siku moja!

Mkuu na watoto wa Ashira tulivyokuwa tunapenda kitemboniii. Ndo ilikuwa janja ya kwenda marangu mtoni kupiga simu enzi hizo posta.
 
Last edited by a moderator:
Mbona sijaona kiashiria chochote cha kusema hapo ni marangu mtoni?

BTW kuna bar hapo wanaitwa kwa clara na nyingne yaitwa uchumi walikuwa mafundi wa kupika NGUE(kitimoto) sana!
 
Marangu mtoni halya ule halya ko Malagwe ndiyo mama nale feo halya njipanda kweli kuore mazingira mecha sana, hahah najua nimechapia lakni mule mule.
 
Mkuu na watoto wa Ashira tulivyokuwa tunapenda kitemboniii. Ndo ilikuwa janja ya kwenda marangu mtoni kupiga simu enzi hizo posta.

Ha ha ha mkuu bila shaka hatujakutana !!!🙂🙂
 
huu uzi nausoma mpaka nasisimka ila kwetu kuzuri sio fitna me huwa napita hapo mtoni siku hizi kimei katuwekea benki pazuri aje!!! me wa kilema asikwambie mtu bado mwezi mmoja narudi zangu kwetu mbali na mbege nimemiss kyumbo!
 
Kweli hata mimi nimekumisi sana mtoni, kijijini kwa bibi Kigoma....!
 

Attachments

  • IMG_3081 - Copy.JPG
    IMG_3081 - Copy.JPG
    933.8 KB · Views: 108

Similar Discussions

Back
Top Bottom