Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,606
- 64,451
Na mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi sana.
SIYO SIRI Mamndenyi ni zaidi ya mke mwema! tumeivana sana!!
SIYO SIRI Mamndenyi ni zaidi ya mke mwema! tumeivana sana!!
hahaha lazima wewe utakuwa mjomba ake naniiiUmenikumbusha njia ya kwenda Kibo Hotel na Njia ya Kinapa Kwa Mtu mmoja anaitwa Blue Band sijui bado yupo?
Na mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi sana.
Usijali nitakuambia tu;
Tufanye mwezi wa kumi na moja
mie huwa sipendi msongamano wa disemba.
Shem Lady doctor...mimi si mpalestina bana...kwetu ni kule kwa ma beauty queen..a.k.a Mrs. Mkapa alikotokea..if yu no waram seying!!!
miss chagga asante kwa kunikumbusha kumbe inaitwa uchumi bar!! ila hii hapa "MBUNDI MBUNDI" sijaelewa maana mi ni chasakaMBUNDI MBUNDI unaijua wewe uchumi bar.
Aise donlucchese umenikumbusha mbali sana. Miaka ya 1995-1996 wakati huo nafanya kazi Marangu Hospital (Kitemboni) - first appointment!
Baada ya kazi na siku za weekend mie na mshkaji wangu tulikuwa tunachukua totoz za Ashira Girls na Marangu TTC!🙂🙂🙂
....nitarudi siku moja!
Umenikumbusha Sembeti kwetu..
Umenikumbushia mwaka 1997 nilipoenda kumzika Sister.. Marangu Juu R.I.P Dada yangu... Kule Tunazikia Shambani..... Karibu na kwa Mrema... Usiku na asubuhi ni Baridi Balaa
Yaa napajua sana teh, teh!! Nimekaa sana pande hizo kuanzia Himo mpaka Mwika, Rombo, Shimbi, Keni Aleni nk
miss chagga asante kwa kunikumbusha kumbe inaitwa uchumi bar!! ila hii hapa "MBUNDI MBUNDI" sijaelewa maana mi ni chasaka
hahahaaa...... Unatania hadi dada zako.
Christmas si utaenda kuhesabiwa wewe, utanipitia namimi aisee kama utaenda maana ninampango mwezi ujao kusogea Geneva