Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Shem Lady doctor...mimi si mpalestina bana...kwetu ni kule kwa ma beauty queen..a.k.a Mrs. Mkapa alikotokea..if yu no waram seying!!!

hahahaaa...... Unatania hadi dada zako.
Christmas si utaenda kuhesabiwa wewe, utanipitia namimi aisee kama utaenda maana ninampango mwezi ujao kusogea Geneva
 
Last edited by a moderator:
Aise donlucchese umenikumbusha mbali sana. Miaka ya 1995-1996 wakati huo nafanya kazi Marangu Hospital (Kitemboni) - first appointment!

Baada ya kazi na siku za weekend mie na mshkaji wangu tulikuwa tunachukua totoz za Ashira Girls na Marangu TTC!🙂🙂🙂

....nitarudi siku moja!

ukachukue tootoz za ashira nini??
 
Last edited by a moderator:
wanaotaka kwenda Marangu wanyooshe kidole.............
 
Umenikumbusha Sembeti kwetu..

Asee! Nlikuwa navukaga kwenda sembeti kumfata binti flan hivi! Kwetu ni maeneo ya kwa Bw.Laany (Allan) karibu na hotel ya mserika(miss Erica).

Afu kuna mgahawa nlipita maeneo ya posta mjin unaitwa Sembeti. Ngoja ntaufatilia kama una connection na huko au ni jina tu kufanana.
 
Umenikumbushia mwaka 1997 nilipoenda kumzika Sister.. Marangu Juu R.I.P Dada yangu... Kule Tunazikia Shambani..... Karibu na kwa Mrema... Usiku na asubuhi ni Baridi Balaa
 
Umenikumbushia mwaka 1997 nilipoenda kumzika Sister.. Marangu Juu R.I.P Dada yangu... Kule Tunazikia Shambani..... Karibu na kwa Mrema... Usiku na asubuhi ni Baridi Balaa

Ni kweli mkuu hata sisi tulienda kwenye kumbu kumbu ya babu yetu mzee Ignace Mella!
 
Mi Hoteli za Marangu tu ndio huwa zinaniacha hoi.. Yani huwezi amini ni vijijini! Kama hujafika jitahidi ufike.
Capricorn Hotel
01TCAP-IM1101-capricorn-hotel-1475.jpg
Kilimanjaro Mountain Resort
from-the-garden.jpg kiliresort.jpg
Marangu Hotel
Marangu_b.jpg
Nakara
NakaraNyumbaniHotel33.jpg
Marangu TTC
Maranguttc.jpg
Babylon
1.jpg babylon-lodge.jpg
Ndoro Waterfalls
P1180426 (Custom).JPG
 
kwa sasa nipo mazingira haya naenjoy hali ya hewa ambayo ni safi.hongereni watu wa maeneo haya kwa utunzaji wa mazingira
 
hahahaaa...... Unatania hadi dada zako.
Christmas si utaenda kuhesabiwa wewe, utanipitia namimi aisee kama utaenda maana ninampango mwezi ujao kusogea Geneva

Worry not..uje na shemeji tumfahamu pia!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom