Nimekula NYAMA YA MBWA

Utakuwa umeaanza kula muda mrefu maana hukunote tofauti,
Inamaana radha ya mbuzi = to radha ya mbwa ?

Mh watakuwa wengi washakula haka kanyama
 
iwe fundisho kwa wasio na heshima kwa wake zao
 
Mc Tilly Chizenga wee! Shauri yako utajajikuta unakula mbwa kwa kutamani-tamani hivyo!

mwaJ!iyo kitu mi nishakulaga sana iringa though bila mimi kujua!nilisoma mkwawa,kuna kina mama wanauzaga mbogamboga,msimu wa ulanzi nyama inakuwa nyingi sana sh 100 unajaziwa bakuli zima!kumbe wakati wa ulanzi mbwa huwa wanakunywa ukiwa umeanikwa wakati wa kutengenezwa,hivyo mbwa wengi hulewa na kugongwa sana na magari hivyo nyama ya mbwa inakuwa nyingi mtaani!

sasa mbwa wa kugongwa tu barabarani watamu vile itakuwa hao wa china ambayo ni mbegu ya kuliwa kabisa?mi nikifika china palepale airport naagiza gouruchuan!
 
Inamaana hii kitu hapa kwenye jiko ni"dogi"au?!

yup mkuu lakini hawa wapuuzi walivyo wajinga(wachina) ukiingia kichwa kichwa utaambiwa ni kondoo,kitimoto au ng'ombe...hii nyama ni tamu sana mkuu huwa inamwagiwa viungo mwanana "ziran"
 
pamoja,my id is my real name,mc nimeongezea kwa vile mimi ni mc ktk sherehe,niko pande za arusha,hata pande za facebook natumia same id!

nawe pia id yako iko familiar mno na mimi.....natumia sana lily flowers kupambia!mimi ni mpambaji pia

Sawa kabisa I was on the right route, nimepitia phone book yangu na namba yako pia ninayo (kama utakuwa hujabadilisha) tutatafutana kwenye mashuguli then.

 

Hahahahahhahahahahahh!!! nimecheka sana.... na ukome siku nyingine mkikibaliana na mkeo usikiuke...
 

Kumsema vibaya nguruwe ni uchochezi, hii kitu ni tamu iingizwe kwenye katiba mpya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…