Mc Tilly Chizenga, hivi jembe ni nini if you dont mind.mkuu bujibuji!kwa hiyo umekula jembe la mbwa?lol!!!!!
Mc Tilly Chizenga, hivi jembe ni nini if you dont mind.
Mi najua jembe ni NOAH/ MDUDU/ motokitiMc Tilly Chizenga, hivi jembe ni nini if you dont mind.
Mbona katika vifungu vingine vya maandiko vinasema kuwa "Kimtiacho mtu najisi siyo kile kiingiacho mdomoni bali kitokacho"! Hivyo ni rukhsa kuliwa.Na nguruwe je ? mbona Biblia inasema kuwa "Nguruwe ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao" ?
Biblia inasema hivi,
"Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu." (Mambo ya Walawi 11:07-08)
nimeshakula sana mishikaki yake...walioishi CHINA wanajua hili huku tunaita "gourouchuan"
BADILI TABIA hiyo walawi ni sura ya ngapi katika quran yetu sisi waislam..?! kama haipo kwenye quran then hainihusu mimi......
Mc Tilly Chizenga, hivi jembe ni nini if you dont mind.
mkuu,mambo gani ya kutamanishana aise?hata kama ni mbwa inavutia!dah
mkuu,mambo gani ya kutamanishana aise?hata kama ni mbwa inavutia!dah
lilyflower,mguu au mkono wa mbuzi ndio jembe!ukimaliza kula unakuta fupa flani pana kama mwiko au jembe!ndio hilo
Mi najua jembe ni NOAH/ MDUDU/ motokiti
hope umenipata.
Asante kwa class Mkuu, by the way your Id seems familiar to me.
Mc Tilly Chizenga wee! Shauri yako utajajikuta unakula mbwa kwa kutamani-tamani hivyo!mkuu,mambo gani ya kutamanishana aise?hata kama ni mbwa inavutia!dah