Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,250
- 24,084
Kabla ya yote ni kiri wazi kuwa Elimu Haina mwisho na hata maarifa pia.
Nakuja kwenu ninyi wabobevu wa kilimo Cha maharage kuomba njia Bora ya kilimo hiki.
Ukizingatia mbegu, upandaji,
Mbolea na madawa hata booster ni zipi nzuri?
Kwenye mbegu ni mbegu Gani (zipo mbegu za hybrid kama za mahindi?) au ni hizi hizi za kwetu?
Kwa upande mahali nilipopata Hali ya hewan ni nzuri ardhi Ina mvua za kutosha Hadi zinamwagikia.
Soko ni uhakika mchawi bei tu ndo unaweza tofautiana!
Karibuni sana wabobevu uwanja ni wenu tupate maarifa.
Ahsantee sana
Nakuja kwenu ninyi wabobevu wa kilimo Cha maharage kuomba njia Bora ya kilimo hiki.
Ukizingatia mbegu, upandaji,
Mbolea na madawa hata booster ni zipi nzuri?
Kwenye mbegu ni mbegu Gani (zipo mbegu za hybrid kama za mahindi?) au ni hizi hizi za kwetu?
Kwa upande mahali nilipopata Hali ya hewan ni nzuri ardhi Ina mvua za kutosha Hadi zinamwagikia.
Soko ni uhakika mchawi bei tu ndo unaweza tofautiana!
Karibuni sana wabobevu uwanja ni wenu tupate maarifa.
Ahsantee sana