Umenichekesha,kwa ubishi kweli hasa wale wazee wa zamani hua wabishi sanaaa,wengine wana akili huyo kua kwanini muende mbali wakati ni halali huoa mtoto wa baba mdogo au mtoto mama mdogo,ila wengi wanaelimika sasa sababu hua na maradhi ya kwenye familia,angalau ukiolewa njee unaweza kuyaepuka, kuo mtu mwengine zamani ndio walikua na akili huyo lakini mbona wanaoa sikuizi sema wengine bado wanayo ile kasumba lakini wengi wameelimika..Arabs,na kweli hizo ni tamaduni za Kiarabu.Naniwabishi kweli hao watu.
Basi wewe tumia ushawishi wako kwa mdogo wako mkataze asiolewe na Huyo bwana.
Swali kidogo,Ni kwanini Arabs mnapenda kuona within family kuna ukweli kwamba mnakuwa na lengo LA kutaka kuzuia utajiri na Mali visiende nnje ya familia au kuna Lingine ? Alafu ni vigumu sana mwanamke wa kiarabu kuolewa na Muafrika mwenye ngozi Nyeusi naskia labda akiwa na pesa sana anaweza kufikiriwa...
Hilo kwa upande wako unalionaje..?
Apana mkuu nampenda sanaaaa,ndio mdogo wangu wa mwisho........Muache aolewe tu maana wanaume sisi waoaji tupo wachache sana asije akaishiwa kuchezewa tu ukiendelea kumkomalia
Apana mkuu nampenda sanaaaa,ndio mdogo wangu wa mwisho........
Yap,si umesema mdogo mtu anakusiliza kwa kila kitu,ila inabidi uwe kampen meneja kwenye hilo jimboKwa hiyo Shemeji utakua wewe sasa,niachane na huyu eeh?lol..
Mwanamke anaejitambua na mwenye hofu ya Mungu PhD haina maana mbele ya mume wake...swadakta!!
..hili ndo suluhisho la kudumu sasa;
.na mahari tutakuchangia ila hapo kwenye Phd itabidi ujiongeze mwenyewe!
Sasa kwa hali yasasa kma shemeji yako katulia na anampenda ww ttzo nini? Acha ujinga, waache waoane wajenge familia, kwanza ndo hupendeza , ataja apate mhuni mjuteeMkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomesha,staki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
Inacoat furaha yake kivip? Yy mwenyewe kasema hataki au ulienda direct kua hupend hiyo ndoa ifanyike? Acha izo kma vip mwache yy aamue usiwe kikwazoMkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomesha,staki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
Wala sio vizuri yaani hapo kama kuna tabia fulani watoto wana ridhi kila kitu ndiyo maana inatakiwa kuchanganya na ukoo mwingine lakini mwingine mkubwa mwingine mdogo labda huyo binti angekuwa binamu yako lakin wa damu mmm kwamimi hapanaSidhani kama ni sawa nna sababu nyingi sana za kukata,aolewe na mtu mwengine ila sio shemeji yangu hatuwezi kuolewa na familia moja..
Sio vizuri kuolewa nyumba moja mtu na ndugu yake wa damu kuna wengine mdogo kaoa hapo naye kaka mkubwa baada ya kuachana na mkewe eti kampenda shemeji wa mdogo wake wakamgomea akaoa sasa kumbe mgonjwa na mdogo wake naye mgonjwa kwahiyo huku wagonjwa mtu na mdogo wake nahuku hivyo hivyoMkuu kila familia na maadili yake ila mimi nnachokiofia ni baadae watoto wangu na wake kuja kuoana manake itakua mparaganyo, yani mama ndugu baba ndugu sipendi hiyo itoke sijui kama kuna mtu ananielewa kwenye hili,mimi mwenyewe nimekataa kuolewa na mtoto wa mjomba na mjomba alininunia 3-4 good yrs na hata sasa ana cheka tuu ila anasema hakufurahi mimi kuolewa na mtu wa nje...
Ooooh okayMkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomeshavstaki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
..teh hee heeMwanamke anaejitambua na mwenye hofu ya Mungu PhD haina maana mbele ya mume wake