Nimekosea Wapi?

Nimekosea Wapi?

Muache aolewe tu maana wanaume sisi waoaji tupo wachache sana asije akaishiwa kuchezewa tu ukiendelea kumkomalia
 
Arabs,na kweli hizo ni tamaduni za Kiarabu.Naniwabishi kweli hao watu.
Basi wewe tumia ushawishi wako kwa mdogo wako mkataze asiolewe na Huyo bwana.

Swali kidogo,Ni kwanini Arabs mnapenda kuona within family kuna ukweli kwamba mnakuwa na lengo LA kutaka kuzuia utajiri na Mali visiende nnje ya familia au kuna Lingine ? Alafu ni vigumu sana mwanamke wa kiarabu kuolewa na Muafrika mwenye ngozi Nyeusi naskia labda akiwa na pesa sana anaweza kufikiriwa...

Hilo kwa upande wako unalionaje..?
Umenichekesha,kwa ubishi kweli hasa wale wazee wa zamani hua wabishi sanaaa,wengine wana akili huyo kua kwanini muende mbali wakati ni halali huoa mtoto wa baba mdogo au mtoto mama mdogo,ila wengi wanaelimika sasa sababu hua na maradhi ya kwenye familia,angalau ukiolewa njee unaweza kuyaepuka, kuo mtu mwengine zamani ndio walikua na akili huyo lakini mbona wanaoa sikuizi sema wengine bado wanayo ile kasumba lakini wengi wameelimika..
 
Ni upmbavu ambao ushptwa wakat kbsa yaani nimuoe mtoto wa shangaz au mjomba what z au wa ma mdogo au ma mkubw ni ujnga mkubw xn yaan ,,wale c ni ndg wa damu kbsa hvi babu kizaa baba ako na mtoto wa shngaz yko nyie c ni ndg KBS mkienda kwa babu yenu we kizaa baba yko na yye kizaa mama yake c ndg KBS jmn ni niwajukuu wa damu wote jmn,, hyo mdogo wko hta c mbya kuolew na shmej yko coz ukwen kwko xo ndg zko wa damu pmbvu ,mnalhusu ndg kuona halfu ukwen inakua shda
 
Kama wamependana kwa nini wewe uwe kikwazo kwao. Fikiri kama ataamua kubeba mimba je, utazuia? Wewe nani alikuchagulia mchumba kapenda mwenyewe mwache "kipenda roho hula nyama mbichi"
 
Mkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomesha,staki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
Sasa kwa hali yasasa kma shemeji yako katulia na anampenda ww ttzo nini? Acha ujinga, waache waoane wajenge familia, kwanza ndo hupendeza , ataja apate mhuni mjutee
 
Mkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomesha,staki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
Inacoat furaha yake kivip? Yy mwenyewe kasema hataki au ulienda direct kua hupend hiyo ndoa ifanyike? Acha izo kma vip mwache yy aamue usiwe kikwazo

Wenzio wanaweka mpira kati ww wabutua nje
 
Sidhani kama ni sawa nna sababu nyingi sana za kukata,aolewe na mtu mwengine ila sio shemeji yangu hatuwezi kuolewa na familia moja..
Wala sio vizuri yaani hapo kama kuna tabia fulani watoto wana ridhi kila kitu ndiyo maana inatakiwa kuchanganya na ukoo mwingine lakini mwingine mkubwa mwingine mdogo labda huyo binti angekuwa binamu yako lakin wa damu mmm kwamimi hapana
 
Aisee! Hii mpya kabisa. Na Tena inashangaza kuona ndugu wakiowana!!!
 
Mkuu kila familia na maadili yake ila mimi nnachokiofia ni baadae watoto wangu na wake kuja kuoana manake itakua mparaganyo, yani mama ndugu baba ndugu sipendi hiyo itoke sijui kama kuna mtu ananielewa kwenye hili,mimi mwenyewe nimekataa kuolewa na mtoto wa mjomba na mjomba alininunia 3-4 good yrs na hata sasa ana cheka tuu ila anasema hakufurahi mimi kuolewa na mtu wa nje...
Sio vizuri kuolewa nyumba moja mtu na ndugu yake wa damu kuna wengine mdogo kaoa hapo naye kaka mkubwa baada ya kuachana na mkewe eti kampenda shemeji wa mdogo wake wakamgomea akaoa sasa kumbe mgonjwa na mdogo wake naye mgonjwa kwahiyo huku wagonjwa mtu na mdogo wake nahuku hivyo hivyo
 
Mkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomeshavstaki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
Ooooh okay
 
Xjavutiwa na thread
 

Attachments

  • IMG-20170922-WA0001.jpg
    IMG-20170922-WA0001.jpg
    39.2 KB · Views: 15
Back
Top Bottom