Mkuu Ahsante sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zaidi ya sanaaaaaaaaaaa,kwakusimama na mimi japo hunijua ila mwenyezi mungu ndio atakae kulipa kwani sio rahisi mtu kunielewa nna maana gani,na ndio mana kuna time hua nalia sababu angekuwepo mama afadhali angenisaidia, naandika huku machozi yananitoka nahisi napiga peke yangu na hakuna wakunielewa japo kwa mawazo, najiuliza kwanini hawanielewi? mabo mengi yapo wazi family wanagombana kisa watoto wao,why wanataka kumuweka huyu mdogo wetu kwenye matatizo?
Bro wangu anasema unavyotaka wewe ndio hivyo hivyo ila hasimami na kuongea yuko busy na life yake anasema hao watu ni visiki hakuna haja ya kuwaelimisha hawaelewi,anyway ahasante sana mwenyezi mungu akupe busara hiyo hiyo na hekma..