Nimekosea Wapi?

Nimekosea Wapi?

Hali zenu Waungwana,

Naomba niende moja kwa moja kwenye kile kinachoniumiza nafsi yangu..
Nna mdogo wangu she is 27, anasoma South Africa na nna shemeji amemaliza
kusoma anafanya kazi U.S.A, ndoto ya shemeji yangu huyo ilikuanikuoa mdogo
wangu au ndugu yoyote sababu anasema amevutiwa na tunavyo ishi familia yetu.
sikumchukulia serious na ukizingatia familia yetu hua sana wanaoana mtoto wa shangazi
kwa mjomba,mtoto wa mama mkubwa kwa mama mdogo,ila mimi na bro wangu hatuku
taka hayo mambo na familia kwanza walikataa ila baadae wakakubali..

Sasa shemeji yuko tayari kuoa na anataka kumuoa mdogo wangu wa mwisho mimi sijapenda why sote tuolewe kwenye same family? na kwa tabia ya familia yangu hawa wanangu usishangae tena wakaja kuowana na watoto wa mdogo wangu ikawa baba zao ndugu mama zao ndugu nikifikiria hapo hua nachoka,

Ila nimewaelezea reason zangu walonielewa ni wachache,na kuna wengine wamefikia kusema kua simtakii mema mdogo wangu wakati mimi ndio nimemlea mpaka sasaivi na she is a Daughter to me,nampenda sanaaa na ananisikiliza, hapa nyumbani kwangu hubby hana ile furaha kama ya mwanzo sababu nimesema sio sawa bro wake kumuoa mdogo wangu,shemeji nae hana ile bashasha tangu niseme hivyo anaona kama vile nimekua mchawi wake,

Nimemweleza mdogo wangu khasa kwa nini staki ila nimemwambia kua furaha yake ndio
yangu alichosema ni kua sis kama unadhani its not okay niko na wewe kwenye hili,
ila naona kama atahisi najali nafsi yangu au sitaki aolewe,ivi nikisema asiolewe na shemeji yangu ntakua nimekosea? hakuna kipindi kigumu kwangu kama hiki wakati wa maamuzi kama haya ndio hua nalia sana namkumbuka Mama,angekuwepo lingekua jambo jepesi sanaa manake yupo mshauri,

Sasa hivi kuna wakati nafanya maamuzi sina wakumwambia zaidi ya kumuomba mungu aniongoze.

Haya naomba mchango wenu wa mawazo Waungwana..
atapata bandindu utaingia lawama zisizo na maana,,.. kama ni culture ndugu kuoana mwache awe huru muhimu ni kuishi kwa amani unafikri unatatua ila itawaletea tabu
 
Sababu zako hazina mashiko..mwache dogo aolewe. Ningeona umeongea point kama dogo mwenyewe angekua kuolewa na huyo shemeji yako au lingekua ni jambo jipya katika familia
 
Furaha yake ndio jambo la kwanza kwenye maisha yangu,ila sikubaliani na hii mambo yakuoana familia moja,mwisho wa siku mnazaa ma zezeta,ugomvi wa familia nimeyaona mengi na ndio mana staki na yeye yamkute..
Mnazaa mazezeta? Inamaana mazezeta wote sababu ni hiyo? Mkuu rudi kwenye imani yenu ya kidini kama inaruhusu waache waoane?
 
atapata bandindu utaingia lawama zisizo na maana,,.. kama ni culture ndugu kuoana mwache awe huru muhimu ni kuishi kwa amani unafikri unatatua ila itawaletea tabu
Sio rahisi mtu kunielewa kwenye hili kirahisi..
 
Sababu zako hazina mashiko..mwache dogo aolewe. Ningeona umeongea point kama dogo mwenyewe angekua kuolewa na huyo shemeji yako au lingekua ni jambo jipya katika familia
Nakuelewa unavyosema kama nilivyo waelewa wengine nyumbani,ila kwangu ntachukulia kama changamoto za maisha,na pia niseme ahsante napata kujua zaidi thinking capacity za familia yangu na za wenzangu kama zinafanana..
 
wewe unasema hofu yako ni kuwa watoto wenu watakuja kuoana, KIVIPI???? kwani na hao waume zenu watakuwa na misimamo kama ya familia yenu yani kuoana ndugu
 
wewe unasema hofu yako ni kuwa watoto wenu watakuja kuoana, KIVIPI???? kwani na hao waume zenu watakuwa na misimamo kama ya familia yenu yani kuoana ndugu
Mkuu familia ya mume wangu abae ameoa nje ya ukoo wao ni mume wangu dada yake mume wangu na huyu shemeji anaetaka ila walobakia 9 wote kama sisi,sasa hofu yangu huyu mdogo wangu mimi baba mmoja mama mmoja,mume wangu na mdogo wake baba mmoja mama mmoja ebu nambie huo mparaganyo,sisemu itakua hivyo ila uwezekano upo sababau ndio kawaida kwetu ila kwa watoto wangu na huyu mdogo wangu i need to change that inshallah niweze..
 
Mkuu familia ya mume wangu abae ameoa nje ya ukoo wao ni mume wangu dada yake mume wangu na huyu shemeji anaetaka ila walobakia 9 wote kama sisi,sasa hofu yangu huyu mdogo wangu mimi baba mmoja mama mmoja,mume wangu na mdogo wake baba mmoja mama mmoja ebu nambie huo mparaganyo,sisemu itakua hivyo ila uwezekano upo sababau ndio kawaida kwetu ila kwa watoto wangu na huyu mdogo wangu i need to change that inshallah niweze..
hapo kweli pagumu, shikilia msimamo wako
 
Inacoat furaha yake kivip? Yy mwenyewe kasema hataki au ulienda direct kua hupend hiyo ndoa ifanyike? Acha izo kma vip mwache yy aamue usiwe kikwazo

Wenzio wanaweka mpira kati ww wabutua nje
laitani ungejua athari zake..
 
Yaani apo unachofanya unatia petrol kweny moto,


We subiri uwake tu, utasikia mdogo wako ana mimba sijui utajiua ao ni watu wazima awachaguliwi cha kufanya, we wabariki,.. 25 minutes too late
Mwenyezi mungu ata mnusuru kama alivyo tunusuru sisi dada zake, Alhamdulillah hakunaalie olewa na mimba kwentu wala alie aibisha familia mpaka sasa na Inshallah watoto wetu wawe hivyo hivyo....
 
Hali zenu Waungwana,

Naomba niende moja kwa moja kwenye kile kinachoniumiza nafsi yangu..
Nna mdogo wangu she is 27, anasoma South Africa na nna shemeji amemaliza
kusoma anafanya kazi U.S.A, ndoto ya shemeji yangu huyo ilikuanikuoa mdogo
wangu au ndugu yoyote sababu anasema amevutiwa na tunavyo ishi familia yetu.
sikumchukulia serious na ukizingatia familia yetu hua sana wanaoana mtoto wa shangazi
kwa mjomba,mtoto wa mama mkubwa kwa mama mdogo,ila mimi na bro wangu hatuku
taka hayo mambo na familia kwanza walikataa ila baadae wakakubali..

Sasa shemeji yuko tayari kuoa na anataka kumuoa mdogo wangu wa mwisho mimi sijapenda why sote tuolewe kwenye same family? na kwa tabia ya familia yangu hawa wanangu usishangae tena wakaja kuowana na watoto wa mdogo wangu ikawa baba zao ndugu mama zao ndugu nikifikiria hapo hua nachoka,

Ila nimewaelezea reason zangu walonielewa ni wachache,na kuna wengine wamefikia kusema kua simtakii mema mdogo wangu wakati mimi ndio nimemlea mpaka sasaivi na she is a Daughter to me,nampenda sanaaa na ananisikiliza, hapa nyumbani kwangu hubby hana ile furaha kama ya mwanzo sababu nimesema sio sawa bro wake kumuoa mdogo wangu,shemeji nae hana ile bashasha tangu niseme hivyo anaona kama vile nimekua mchawi wake,

Nimemweleza mdogo wangu khasa kwa nini staki ila nimemwambia kua furaha yake ndio
yangu alichosema ni kua sis kama unadhani its not okay niko na wewe kwenye hili,
ila naona kama atahisi najali nafsi yangu au sitaki aolewe,ivi nikisema asiolewe na shemeji yangu ntakua nimekosea? hakuna kipindi kigumu kwangu kama hiki wakati wa maamuzi kama haya ndio hua nalia sana namkumbuka Mama,angekuwepo lingekua jambo jepesi sanaa manake yupo mshauri,

Sasa hivi kuna wakati nafanya maamuzi sina wakumwambia zaidi ya kumuomba mungu aniongoze.

Haya naomba mchango wenu wa mawazo Waungwana..
Mkuu vipi huyo shemeji yako ameshamla huyo mdogo wako? kama ameshamla unazuia nini wakati wanajuana utupu? kwa kuwa ninachooamini ni kwamba walishakuwa karibu na hii idea atakuwa ameshamwambia tayari na walisharijadili na ndiyo maana limekuwa mezani mwako...
 
Hawa ni wahidi nimeanglia Avator ya huyu mdada hii ni tabia ya Wahindi... Hata wachaga hawafanyi huo Ujinga na kuosma kwao koote .. Hakuna kabila yenye huo ujinga kama siyo ile Kabila ya Watanzania wenye asili ya Kieshia...
 
Mkuu naomba usome sababu za mimi kukataa,hakuna mtu anamuonea mdogo wake choyo,huyu kwangu sio ndugu ni mwanangu,mama alipo fariki alikua mdogo sana nimemlea na mimi ndio namshomesha,staki aolewe sababu family yetu
hua tunaowana mtoto wa baba mkubwa kwa baba mdogo shangazi kwa mjomba, mtoto wa mama mkumbwa na mtoto wa mama mdogo,sasa fikiria mtoto wangu mimi akiolewa na mtoto wa sister wangu mama zao ndugu na baba zao pia wanakua ndugu sasa hapo hamjazaa watoto wenye akili za nyani au maradhi ya kurithi?
Kimaendelea Alhamdulillah tuko vizuri,ila hata akinipita ni fahari yangu mdogo wangu kuolewa na mwenyenazo ila sio kwa style itakayo m cost furaha yake..
Hawa ni wahidi nimeanglia Avator ya huyu mdada hii ni tabia ya Wahindi... Hata wachaga hawafanyi huo Ujinga na kuosma kwao koote .. Hakuna kabila yenye huo ujinga kama siyo ile Kabila ya Watanzania wenye asili ya Kieshia...
 
Usikute jamaa alishamgegeda tayari mdogo wako afu wewe unaleta misimamo.Anyway Mmenishangaza sana familia yenu mnavyogegedana hovyo hovyo,yaani mimi na akili zangu hizi nioe mtoto wa mjomba,Shangazi au Mama mkubwa kweliii.

Kwa upande wangu sioni tatizo nyie kuolewa familia moja kwa sababu hakuna undugu kihivyo na sidhani kama watoto wenu watakuja kuoana labda nyinyi ndo mtake.

Tatizo langu ni kwa nini muoane mtoto wa mjomba au Shangazi isiwe tatizo ila kuolewa na ndugu wa mmeo iwe tatizo.U can't be serious
Hawa ni wahidi nimeanglia Avator ya huyu mdada hii ni tabia ya Wahindi... Hata wachaga hawafanyi huo Ujinga na kuosma kwao koote .. Hakuna kabila yenye huo ujinga kama siyo ile Kabila ya Watanzania wenye asili ya Kieshia...
 
Kwanza nikupe pole kwa Unayopitia.
Ivi ni kitu gani kilisababisha mkaamua kuoana ndugu kwa ndugu.? Huo ni mfumo mbaya sana ktk Maisha ya binadamu. Tatizo kubwa mtakalokutana nalo ni uwepo wa Magonjwa Mengi ya kurithi ktk familia zenu. Mtatengeneza familia za Wagonjwa,Dunia ya sasa imebadilika sana na naamini wapo wasomi ktk familia sijui kwanini waruhusu vitu vya namna hii.

Unajua zamani baadhi ya tamaduni walifanya hivi kutokana na uhaba wa watu. Sasa Leo Tz pekee inawatu Million 50 kweli ukose mmoja wa kuoana nae.

Maadam umeamua kulikataa hilo nakushauri ushikilie msimamo wako ili kunusuru familia zenu.

Tafuta reference kutoka kwa madaktari juu ya magonjwa ya kurithi na mengine ambayo tayari yapo kwenye Familia yenu then nenda na nakala uwape kila mmoja ktk kikao cha Familia. Jaribu kuwaelewesha.
Usitumie Nguvu,Tumia nguvu ya Hoja. Hoja tayari unayo.

Lakini naomba kuuliza kidogo nyie ni kabila gani au wahindi....?
Hawa ni wahidi nimeanglia Avator ya huyu mdada hii ni tabia ya Wahindi... Hata wachaga hawafanyi huo Ujinga na kuosma kwao koote .. Hakuna kabila yenye huo ujinga kama siyo ile Kabila ya Watanzania wenye asili ya Kieshia...
 
Back
Top Bottom