Mkuu mume wangu Kwao wanatabia kama za kwtu ila sio kivile ila wanapenda sana kuowana familia,hilo mimi silikubali hata iweje najaribu sana kulipinga,mkuu laitani ungekua unaona family wanapokua wanagombana kisa kila mtu anamtetea mwanawe unakua ugomvi sio wa mke na mume nawa ndugu,sipendi kuona hivyo,na pili unakuta huyu ana pumu mara yule ana sijui nini hua sipendi,wanasema najitia mzungu ila ni sawa waseme tuu wanapokwenda hospital dr akisema wanaanza kutukana mpaka ma dr sasa ntajitahidi kwa huyu na inshallah ntaweza..