Usikute jamaa alishamgegeda tayari mdogo wako afu wewe unaleta misimamo.Anyway Mmenishangaza sana familia yenu mnavyogegedana hovyo hovyo,yaani mimi na akili zangu hizi nioe mtoto wa mjomba,Shangazi au Mama mkubwa kweliii.
Kwa upande wangu sioni tatizo nyie kuolewa familia moja kwa sababu hakuna undugu kihivyo na sidhani kama watoto wenu watakuja kuoana labda nyinyi ndo mtake.
Tatizo langu ni kwa nini muoane mtoto wa mjomba au Shangazi isiwe tatizo ila kuolewa na ndugu wa mmeo iwe tatizo.U can't be serious