zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,077
- 26,002
kumbe shida sio kuolewa na shemeji, shida ni watoto wenu wanaweza aona kwa kwa kuwa nyie huwa mnaona mjomba kwa shangazi.Mkuu kila familia na maadili yake ila mimi nnachokiofia ni baadae watoto wangu na wake kuja kuoana manake itakua mparaganyo, yani mama ndugu baba ndugu sipendi hiyo itoke sijui kama kuna mtu ananielewa kwenye hili,mimi mwenyewe nimekataa kuolewa na mtoto wa mjomba na mjomba alininunia 3-4 good yrs na hata sasa ana cheka tuu ila anasema hakufurahi mimi kuolewa na mtu wa nje...
hilo haliwezi tokea tena maana hao watoto watakao zaliwa hawatakuwa ukoo wenu (wenye kuoana watoto wa ma shangazi kwa mjomba) watakuwa ukoo wa wanaume na wao hawana utaratibu huo (maana wewe ulimkataa mtoto wa mjomba hivyo uko ukoo mwingine)
kifupi mwache aolewe maana watoto sio wa ukoo wenu wa kuoana watu wa karibu na hata ingekuwa hivyo tangu utotoni mngeweza weka misingi ya wao kuonana ni ndugu kabisa na kusiwepo mambo ya kuoana