zeus
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 213
- 55
Nimekosa Kazi na Nimeshindwa Kujiajiri.....
pamoja na elimu ya darsani ya chuo bado sijaweza kupata kazi, na mfumo wa elimu niliopitia haujanipa skills za maisha
sio ufundi mbao, nyumba, seremala , nk, kujiajiri inakuwa tabu, badala ya elimu ndefu ya darsani ya miaka saba+nne , kwa nini tusiwekeze kwenye elimu ya ufundi zaidi?
pamoja na elimu ya darsani ya chuo bado sijaweza kupata kazi, na mfumo wa elimu niliopitia haujanipa skills za maisha
sio ufundi mbao, nyumba, seremala , nk, kujiajiri inakuwa tabu, badala ya elimu ndefu ya darsani ya miaka saba+nne , kwa nini tusiwekeze kwenye elimu ya ufundi zaidi?