ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,119
- 49,843
RC wa Dar Albert Chalamila amewashangaa watu wanaolaumu Elimu ya Chuo Kikuu Tanzania hususani graduate Kwa kulalamika na kulaumu mitaala ya Elimu na Serikali wakati Kuna mtu ana Elimu ya darasa la Saba tu anaitumia kuingiza Mamilioni Kariakoo na kwingineko.
My Take:
Naunga mkono hoja,haiwezekani mwenye Elimu ya la Saba akaitumia kupata pesa wewe mwenye Elimu ya Chuo Kikuu uwe unalaumu. Vijana wa miaka hii ni hovyo na wazembe sana.
=======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amesema wakati wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu wakilalamika kwamba mitaala ya masomo yao haiwawezeshi kujiajiri, wapo watu walioishia darasa la saba wanaoingiza mamilioni ya fedha Kariakoo.
Chalamila amewataka wahitimu wa vyuo vikuu wanaokosa fursa za kuajiriwa, watafakari namna ya kuzigeuza changamoto zilizopo kwenye jamii kujiingizia kipato badala ya kubaki kulalamika.
Ameyasema hayo leo, Septemba 10, 2023 Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kuliombea taifa amani, iliyoandaliwa na Kanisa Kuu la Bwana.
My Take:
Naunga mkono hoja,haiwezekani mwenye Elimu ya la Saba akaitumia kupata pesa wewe mwenye Elimu ya Chuo Kikuu uwe unalaumu. Vijana wa miaka hii ni hovyo na wazembe sana.
=======
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amesema wakati wanafunzi wanaohitimu vyuo vikuu wakilalamika kwamba mitaala ya masomo yao haiwawezeshi kujiajiri, wapo watu walioishia darasa la saba wanaoingiza mamilioni ya fedha Kariakoo.
Chalamila amewataka wahitimu wa vyuo vikuu wanaokosa fursa za kuajiriwa, watafakari namna ya kuzigeuza changamoto zilizopo kwenye jamii kujiingizia kipato badala ya kubaki kulalamika.
Ameyasema hayo leo, Septemba 10, 2023 Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kuliombea taifa amani, iliyoandaliwa na Kanisa Kuu la Bwana.