Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Naweza kusema ww bado binti na sio mwanamke
Instead ya kuwa worried na future ya wanao kwamba mumeo hatimizi majukumu/kulipa bills au kesho ya wanao haiko njema unakua worried na vimada??
 
upangiwi umemwandikia nani?,acha malipizi,hayo ni maamuzi yako usitafute mkumbo,tenda wema ,kuwa mama,nena vyema,usifate maisha ya upagani,kuwa na asili

Wewe nakuona unakazania ila unatenda maovu.. uliambiwa lini mtu anashauriwa na kufata bila kupima mwenyewe!!! Kama yupo basi ni bomu. Wewe acha kuchepuka.. na nitaandika kama kawa. Mwanaume akifata raha basi na mke ana haki hiyo pia kujipa raha.

Ukitaka wanawake waliovumilia haswaaaa ndoa miaka yao ilishapita wapo wanalea wajukuu na hata vitukuu kwa sasa.
 
Katunga hadithi
Kabla sijaendelea kusoma.,
Matumizi ya neno "Mume wangu" kwenye maandishi yako zaidi ya mara moja, inaonyesha ni jinsi gani unatumia nguvu kutuaminisha una mume[emoji23][emoji23][emoji23] Hivyo ninamashaka kama unamume.
 
Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?

Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Sidhan kama unajua utofauti wa kuolewa na kuoa
Anyway hii women independence hii ndo inafanya ndoa nyingi zinakufa
 
Bibie popote ulipo Mungu akushushie mikono ya baraka wewe na familia yako
Hii busara ji ya hali ya juu sana
Ulipikwa
Kesho akirudi mwambie hujafurahi yeye kulala nje ukishasema yako ya moyoni muwekee chai anywe.

Mkumbushe kuwa mna watoto wanahutaji kulelewa na HIV is real.

Ukishayaongea yote, funga mjadala endelea na maisha. Ukimnunia umempa because ya kwenda atakako.
 
Muombe msamaha mmeo atakusamehe. Lkn usirudie tena tabia chafu ya kuchunguza mawasiliano ya mumeo.
 
Sawa mkuu nimekuelewa..sijatatua tatizo na nitaomba msamaha
haya sasa ushaona sms
ulichopata ni hasira tu na hujatatua tatizo na hutoweza kulitatua kwa hasira na msamaha utaomba ww
 
Sintorudia tena hiki nilichokifanya Leo..ila jibu lake liliniuma sana
Usifanye uchunguzi wa Jambo ambalo ukipata matokeo ya uchunguzi wako UTAISHIA KUMWACHIA MUNGU.. alichofanya mumeo siyo jambo zuri
 
Mkuu sufukui tena yani hapo umeandika suala la mtoto mapigo yaenda mbio
Hapo mgogoro tayari utakujasikia ana mtoto,ukifukua makaburi ukubaliane na utakachokikuta
 
Hahahaha yani wewe...haya usiamini
Kabla sijaendelea kusoma.,
Matumizi ya neno "Mume wangu" kwenye maandishi yako zaidi ya mara moja, inaonyesha ni jinsi gani unatumia nguvu kutuaminisha una mume[emoji23][emoji23][emoji23] Hivyo ninamashaka kama unamume.
 
Tatizo sio kupata mahitaji kuna magonjwa sasa hivi
Mimi dume,nakwambia hivi,acha kihere here,wewe umeolewa,maana yake ndo unapendwa,mengine hayakuhusu
wanaume hatuchunguzwi,ili mradi unapata mahitaji mengine achana nayo mdogo wangu,ona sasa yaliyokukuta..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom