mtoto ameondoka mkuu! Muombee koku mungu ampe faraja kipindi hiki kigumu
rip our baby!
so sad1
mmh, ndugu umechelewa soma hii post
mmh, ndugu umechelewa soma hii post
Hongera sana mwaya
ndo malaika wa 'loya' huyo.
Mtoto wangu amelingana umri na wa KOKUTONA je mimi ninathamani gani ninawangu yeye wake hana,niacheni nimsaidie kulia jamani niacheni Nicas Mtei kaka yangu tumwombee mungu amfariji dada yetu jamani inaume kuliko kuchomwa moto wacheni tu