Nimejaribu nimeshindwa

Nimejaribu nimeshindwa

Unajifariji tu dadaangu swala lakuzaa lina mambo mengi yanayo andaliwa na mwili si kama ufikiriavyo wewe.

mwanamk yeyote mwenye tabia chafu na za umalaya ni lazima atakuwa na mawazo ya yanayo fanana na tabia hizo ila kwa mwanamke anaye thamin uanamke wake na kujua wajibu wake kama mama wa familia hutumia kinywa chake sawa sawa na matendo yake ,heshima ya mwanamke huanzia katika kinywa chake.
Ha ha ha kweli kabisa.. Ila pesa muhimu aisee
 
So kumuingilia mwanaume kinyume na maumbile umejaribu hujashindwa
 
Kutafuta mwanamke bikra hapa dar NIMEJARIBU NIMESHINDWA
Kupenda wanawake wenye makalio makubwa NIMEJARIBU NIMESHINDWA
Kuhonga kila demu NIMEJARIBU NIMESHINDWA
Kuipenda Yanga NIMEJARIBU NIMESHINDWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom