Nimejaribu nimeshindwa

Nimejaribu nimeshindwa

Duu na kma upo dsm na hli joto kwanza unalamba chumv ya jasho na hyo ya kitumbua ......hakika utakuwa umekula chumv nyng na haina maana utaishi miaka mingi bali itakua utapishi ulio mwingi
 
Kuomba fedha kwa Demu wangu nimejaribu nimeshindwa
 
kulazimisha kupenda NIMEJARIBU NIMESHINDWA!!
 
Kutongozwa na Mwanamke halafu nikakataa. NIMEJARIBU NIKASHINDWA.
 
Hahahah shda wana kbur halaf hawajal hata umpe pesa like ...
Mme:swt duuu leo nmechoshwa na kazi mbaya ...
Mke:sasa kama umechoka acha hela ya kitafunio asubuh kamata shuka hapa ulale zako.@@$$%%%
Ila wale wa zaman walikuwa ndo wenyew ukioa n kama umenunua fuso au semi maana wanapiga kaz balaaa saaa kumi na moja subuh anakuacha kitandani kum na mbili yupo ndan.......problem n kwamba hawakua romantic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom