Nimejaribu nimeshindwa

Nimejaribu nimeshindwa

Kuamini kwamba kuna kitu kinaitwa mungu......NIMEJARIBU, NIMESHINDWA
Tubu moyoni mwako mapema, chezea na fanya utani na kila kitu lakini sio Mungu...Halafu Biblia inasema Hivi,"MPUMBAVU AMEJISEMEA MOYONI MWAKE KUWA HAKUNA MUNGU".
 
Tubu moyoni mwako mapema, chezea na fanya utani na kila kitu lakini sio Mungu...Halafu Biblia inasema Hivi,"MPUMBAVU AMEJISEMEA MOYONI MWAKE KUWA HAKUNA MUNGU".
Ni kweli kabisa hakuna mungu. Kuamini uwepo wake ni kupoteza wakati na pia ni uvivu wa kufikiria. Shtuka unaibiwa wewe
 
Kusikiliza station tofauti na Clouds fm,nmejaribu nimeshindw
 
Mashariti ya kuchangia mada, nimejaribu nimeshindwa.
 
~Kujikomba kwa mtu asiyenitaka, NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kushare na mtu demu mmoja huku najua NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kutembea na mke wa mtu hata anihonge pesa NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile hata kama kataka mwenyewe NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kujionesha kwa demu kama mi matawi ya juu wakati mi wa nguna bamia NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kukubali kuwekwa king'asti na mwanamke NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... haya ni yangu najua na we una yako si vibaya tukashare hapa, ila mwishoni unamalizia na kibwagizo NIMEJARIBU NIMESHINDWA.....
Poleee wengne twaweza
~Kujikomba kwa mtu asiyenitaka, NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kushare na mtu demu mmoja huku najua NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kutembea na mke wa mtu hata anihonge pesa NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile hata kama kataka mwenyewe NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kujionesha kwa demu kama mi matawi ya juu wakati mi wa nguna bamia NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kukubali kuwekwa king'asti na mwanamke NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... haya ni yangu najua na we una yako si vibaya tukashare hapa, ila mwishoni unamalizia na kibwagizo NIMEJARIBU NIMESHINDWA.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom