Nimejaribu nimeshindwa

Nimejaribu nimeshindwa

hata unipende vip, lakin kama papuch hutoi NITAJARIBU kukuvimilia baadae NTASHINDWA!!
 
Sijawahi jaribu kitu nikashindwa, ila nisivyovitaka huwa sijaribu kabisa.
 
A
Atoke mtoto mzima mzima sembuse kamguu ka mtoto, ndo utajibeba na kibamia chako babue
Unajifariji tu dadaangu swala lakuzaa lina mambo mengi yanayo andaliwa na mwili si kama ufikiriavyo wewe.
Basi kuwa mpole jitahidi kutoa dau la juu zaidi
mwanamk yeyote mwenye tabia chafu na za umalaya ni lazima atakuwa na mawazo ya yanayo fanana na tabia hizo ila kwa mwanamke anaye thamin uanamke wake na kujua wajibu wake kama mama wa familia hutumia kinywa chake sawa sawa na matendo yake ,heshima ya mwanamke huanzia katika kinywa chake.
 
Kuwa na mwanaume mchafu sijawai na sitowai jaribu ila kuwa na mwanaume ambae sio mtafutaji he has northing excep his d.....k NIMEJARIBU NIMESHINDWA
 
Unajifariji tu dadaangu swala lakuzaa lina mambo mengi yanayo andaliwa na mwili si kama ufikiriavyo wewe.

mwanamk yeyote mwenye tabia chafu na za umalaya ni lazima atakuwa na mawazo ya yanayo fanana na tabia hizo ila kwa mwanamke anaye thamin uanamke wake na kujua wajibu wake kama mama wa familia hutumia kinywa chake sawa sawa na matendo yake ,heshima ya mwanamke huanzia katika kinywa chake.
Nimependa hapo "heshima ya mwanamke huanzia katika kinywa chake"

Asante...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom