Nimejaribu nimeshindwa

Nimejaribu nimeshindwa

Kuingia JF bila kupita jukwaa LA mapenzi Nimejaribu nikashindwa!!!
 
Nashangaaga watu wanaotumia hiyo kama kiashiria ya mahusiano Yao kuwa mazuri.

Me I'll never do that kwa kweli
Hapana aisee..Kujisitiri ni pamoja na vitu kama hivyo..Mi kwangu hiyo ni ishara kwamba mtu hajiheshimu
 
~Kujikomba kwa mtu asiyenitaka, NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kushare na mtu demu mmoja huku najua NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kutembea na mke wa mtu hata anihonge pesa NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile hata kama kataka mwenyewe NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kujionesha kwa demu kama mi matawi ya juu wakati mi wa nguna bamia NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kukubali kuwekwa king'asti na mwanamke NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... haya ni yangu najua na we una yako si vibaya tukashare hapa, ila mwishoni unamalizia na kibwagizo NIMEJARIBU NIMESHINDWA.....

hayo yote me bado sijajaribu
 
~Kujikomba kwa mtu asiyenitaka, NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kushare na mtu demu mmoja huku najua NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... ~Kutembea na mke wa mtu hata anihonge pesa NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile hata kama kataka mwenyewe NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kujionesha kwa demu kama mi matawi ya juu wakati mi wa nguna bamia NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... Kukubali kuwekwa king'asti na mwanamke NIMEJARIBU NIMESHINDWA..... haya ni yangu najua na we una yako si vibaya tukashare hapa, ila mwishoni unamalizia na kibwagizo NIMEJARIBU NIMESHINDWA.....
Who cares!!?
 
Kumpenda asiye na hela NIMEJARIBU NIMESHINDWA
kupenda team kibamia NIMEJARIBU NIMESHINDWA
kumpenda mwanamume mwembamba na mfupi NIMEJARIBU NIMESHINDWAAAA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom