Nimeipenda tweet ya Fatma Karume.

Nimeipenda tweet ya Fatma Karume.

Una akili kiduchu sana!

Du wakili na Rais wa TLS unaandika hili Afu wewe nawe unaanza kufikiria kiupinzani badala ya kutumia akili utashi na umri wako. Nipe sifa za hao Watu Afu then tuone UTAIFA .... mchango wa mkwawa na Nyerere vs kaka dada
 
Du wakili na Rais wa TLS unaandika hili Afu wewe nawe unaanza kufikiria kiupinzani badala ya kutumia akili utashi na umri wako. Nipe sifa za hao Watu Afu then tuone UTAIFA .... mchango wa mkwawa na Nyerere vs kaka dada
Mkiambiwa akili zenu ni kiduchu hamuelewi kwa sababu hamna akili...hayo ni maoni ya Fatuma Karume, na kimsingi amechanganya na "utani kidogo" halafu wewe unamiza kichwa. Basi 'kaka wa taifa ni wewe' na 'shangazi wa taifa ni mkeo'.....haya furahi sasa...jinga kabisa!
 
Hiyo nayo hata nyani anaandika kujitafutia kifuta machozi.. hata hauna bichwa wala miguuu.. haichekeshi wala haijaenda shule.. bure kabisa.. ndio watu wanakaaa kufikiria hayo.. sheria zikiwapita wanaishia kulialia eti wanaonewa..
Miccm bwana!!!
 
Kuna watu wanavimbaaa, ati msomi baba zenu hawanaga utani?
Sisiem bobgo lala kweli
 
Hili dongo hilii
kwa mtu

Mtu ananunua mandege, anajenga mabarabara, matreni na mastrigo joji sijui halafu hayupo kwenye List yako ya "Ushujaa"?
hahaha muda simrefu " atawatuma idara ya uhamiaji " wa muhoji kuhusu Uraia wake "" ilahali anajua wazi kuwa Fatuma ni Binti karume "".. hajawahi kuwa timamu yule
 
hiyo account nadhani ni fake! Shangazi wa taifa anaakili kubwa sana ingekuwa washaverify account yake.
 
Mkiambiwa akili zenu ni kiduchu hamuelewi kwa sababu hamna akili...hayo ni maoni ya Fatuma Karume, na kimsingi amechanganya na "utani kidogo" halafu wewe unamiza kichwa. Basi 'kaka wa taifa ni wewe' na 'shangazi wa taifa ni mkeo'.....haya furahi sasa...jinga kabisa!
Ha hah haha ....amekoma aiseee...
 
Back
Top Bottom