radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Nimeipenda sana hii tweet imeambatana na utani vijana wa lumumba msitokwe na povu.
1. Babu wa Taifa = Mtwa Mkwawa
2. Baba wa Taifa = Mwalimu Nyerere
3. Kaka wa Taifa = Mhe. Tundu Lissu
4. Dada wa Taifa = Mange Kimambi
5. Shangazi wa Taifa = Mhe. Fatma Karume
Hii sio takwimu ni maoni hivyo, ruhusa ya NBS haiitajiki kabisa, kusambaza post hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1. Babu wa Taifa = Mtwa Mkwawa
2. Baba wa Taifa = Mwalimu Nyerere
3. Kaka wa Taifa = Mhe. Tundu Lissu
4. Dada wa Taifa = Mange Kimambi
5. Shangazi wa Taifa = Mhe. Fatma Karume
Hii sio takwimu ni maoni hivyo, ruhusa ya NBS haiitajiki kabisa, kusambaza post hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]