Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,891
Mi nilicho penda hapo ni hiki; yaani hao ...wa taifa, mgawanyo umekwenda vizuri kabisa, yaani uwakilishi wa kikanda umefanya kazi vizuri; pwani tu ndio haijatoa mtu, nyanda za juu kusini kuna Mkwawa, kanda ya ziwa kuna Nyerere, kanda ya kati kuna Lissu, kaskazini kuna da Mange na visiwani tumewakilishwa na da Fatma; safi sana na nina unga mkono HOJA hi, tena ipite kabisa.