johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,387
- 142,632
Unakosea na hiyo slogan yako hapo mwishoni.Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Wenye akili walishaondoka Chadema!Unakosea na hiyo slogan yako hapo mwishoni.
Sasa itabidi mje CHADEMA mchukuebtena mawaziri kwa sababu ndiko kwenye watu wenye kutumia akili. Huko CCM mmejaa watu wanaofikiri kwa matumbo ndiyo maana mama anawachana live
Falsafa ni nzuri lakini kwa jinsi hii tutarudi mwenye nguvu mpishe na mambo mengi yatasimama, labda kama anazuga tu.Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Bado umekariri jirani?Hii awamu ya sita, mbona unanitia aibu jiran
What?The end of one man show era.
MATAGA bana. Yaani mmeshachanganyikiwa kabisa aisee!!Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Miguvu mwisho Ufipa.MATAGA bana. Yaani mmeshachanganyikiwa kabisa aisee!!
Awamu ya tano tushaizika tangu tar26/3 babu, zinduka usingizini hii ni awamu ya sita.Hii awamu ya sita, mbona unanitia aibu jiran
Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Matumizi ya nguvu vs Matumizi ya akili!Jiwe alikuwa na walinzi kama 100 hivi na masilaha ya kivita ila mama naona walinzi watatu tu wanawake wawili na msela mmoja.
Wewe ni mmoja wao unaouliza kama wameelewa.Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi nimeshaelewa bwashee!Wewe ni mmoja wao unaouliza kama wameelewa.
I am sorry CM hawana akili ya kuyaona hayoNimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.
Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu
Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.
Nk.....nk....nk!
Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.
Maendeleo hayana vyama!
Aisee mmedata, si bure. Kifo cha "mungu" wenu kimeleta ukungu kwenye ubongo naona.Miguvu mwisho Ufipa.
Tanzania Daima oyeee!