Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Sio siri Rais hana mvuto kabisa kwa Wananchi na mbaya zaidi 2025 hana sera.
Hili si jambo geni machoni kwa watu kila kona kuna mabango ya kumsifia mama.
Kuna vikundi mbali mbali zimeanzisha kumpigia Rais kampeni kabla ya uchaguzi (Ongea na mama, Rafiki wa Samia nk)
Wote tunafahamu ni jinsi gani nguvu kubwa inatumika kumsifia Samia kiasi kwamba mpaka inakera hasa watu wana CCM.
Kwanini nguvu zote hizo zinazotumika kumsafisha asizitumie kutatua changamoto zinazomchafua.
Anapoteza Fedha nyingi kukubalika badala ya kuamishia Fedha hizo kwenye Miradi ili akubalike.
Hili si jambo geni machoni kwa watu kila kona kuna mabango ya kumsifia mama.
Kuna vikundi mbali mbali zimeanzisha kumpigia Rais kampeni kabla ya uchaguzi (Ongea na mama, Rafiki wa Samia nk)
Wote tunafahamu ni jinsi gani nguvu kubwa inatumika kumsifia Samia kiasi kwamba mpaka inakera hasa watu wana CCM.
Kwanini nguvu zote hizo zinazotumika kumsafisha asizitumie kutatua changamoto zinazomchafua.
Anapoteza Fedha nyingi kukubalika badala ya kuamishia Fedha hizo kwenye Miradi ili akubalike.