Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,974
- 6,926
You have a point lakini kwa upande wangu ngoja niweke hivi... Sometimes in life, somethings matters and some doesn't, have decided to trust him na sitaki kumtilia mashaka ya namna yoyoteMkifikia hapo; jua hakuna ndoa; mnasogeza tu siku.
Ukifika hatua you are not bothered na chochote anachokifanya mwenzio; automatically moyo umeshaingia baridi, hakuna upendo tena; ni watu wawili wanaoishi pamoja. Cha kusikitisha zaidi ni pale unapoogopa kushika simu ya mwenzio eti kwa sababu unajua utakachokutana nacho kitakuumiza. Inasikitisha sana
15yrs of marriage bado naanza kumtilia mtu mashaka na kukagua simu yake,naona kama hiyo stage imenipita, all that matters is we are happy,we have a happy family na tunasongesha gurudumu letu