Nimeikuta sehemu

Nimeikuta sehemu

Tulikuwa tunajadiliana tu my dear; to each his own sweetheart as long as kinakupa amani na maisha yanasonga. Mimi simtilii mtu mashaka; but I watch over his steps na imetusaidia sana cos kuna muda namshtua mapema kwamba huyu Mtu bana sio mwema (hapa simaanishi michepuko; kuna friends au hata ndugu ambao usipokuwa makini, utakuta mwenzio ameshatumbukia shimoni). Mtu yeyote ndani ya nyumba yangu; huwa namfuatilia nyendo zake; atake asitake

Watch out mwenzako anaongea nini na anaongea na kina nani; know exactly what they feed his mind. Mfano siku hizi kuna makanisa na Watumishi ambao usiposhtuka mapema; utakuja kushtuka ndoa inavunjika kisa Mtumishi fulani. Mimi ni mlinzi; nalinda kiroho na kimwili; mengine atajuana na Mungu wake; but I played my part.
Tutakuja kuishi kwako angalau mwezi mmoja
 
Unakuta rafiki sijui classmate ametuma msg "Hi Luv, familia haijambo?" Mi nikajibu mxeeeew, tangia hiyo siku sijaonaga tena huyo classmate akitext wala akipiga, tukakutanaga nae kwenye harusi ya classmate mwenzao akakimbia maana alivyoniangalia tu alikosa confidence

Sema it was long ago, almost 10 yrs back lol enzi hizo mimi mgomvi nikikuta tu text ntahakikisha alietuma ananijua na kunitambua vizuri

Sema nimekua mie lol
 
Kama unamiliki shamba
Likiwa na miembe,minazi mikorosho yote si ni ya kwako?Mwanamke wangu
Mke wangu, mke wangu zingatia hilo na vyote anavyo miliki ni vyangu pia
Sasa kuna uprivate gani wa msingi sana zaidi ya kukaa uchi pamoja
Simu ikawe na vya muhimu zaidi ambavyo havitakiwi kuonekana na mimi
Umeshawahi kuwa unataka simu ya mwenzio kwaajili ya ku note namba au kupiga labda salio huna au torch na anakukazia kwa sababu tu anaona utamchunguza na wakati huo jambo ulotaka kufanya lina umuhimu sana kwa wakati huo
Nashangaa Mkuu watu aanavyoogopa wenzi wao wawe na access na simu zao.
 
Trust is earned oooh.

Mfano tu unakuwa na mtu ambaye muda wote akiwa na wewe simu inawekwa "flight mode". Kuna watu wanaficha simu hadi muda wa kuoga anaingia nayo bafuni; bado hutoiba simu yake ujue yaliyomo? Halafu mtu akiwa huru na simu yake kwako; unajikuta unaiona tu ya kawaida, wala hutohangaika nayo unnecessarily. Mtu anakwambia kabisa, naweka hii password kwa sababu sitaki mke wangu aguse simu yangu; does it make sense?
Mtu wa hivyo hana analolificha, wewe kama mtu mzima unaelewa fika kuwa kuna yanayoendelea ndio maana mtu anafanya hivyo, huko kutaka kuprove ndio kujitaftia sonona.

Binafsi mwanamke wangu akishakuwa na dalili hizo za kuzima/kuflight simu huwa naona hapa sio kwa kuwekeza tena upendo, nakaa kijanja ila sitomkagua.

Sijaoa
 
Ndio. Kwanini asishike simu yangu? Naficha nini?
Binafsi sina siri ktk mapenzi.
Simu yangu akitaka ashinde nayo, aondoke nayo atajijua mwenyewe.
Kwa nionavyo mimi, nadhani ile hali ya kuhusisha zaidi simu kama vile ni moja ya sehemu muhimu zaidi ya mapenzi ndiko ambako shida za simu kwenye mapenzi zinakoanzia.

Kiukweli, mapenzi matamu zaidi huwa yanakuja baada ya wapenzi husika kuweza kufanyiana vitu hadi wote wawili wakaweza kasahau kama wanamiliki simu.

Ova
 
Nikiwa kwenye ndoa au sirious relationship sim ya mpenzi wangu ni lazima nishike na nikague nn anafanya kwenye sim yake kwasabab dunia ya saiz zaid ya 80% ya tabia za mtu zipo ndani ya simu so siwez kuacha kukagua sim. Kukwepa kushika sm ya mpenz ni sa na kula funza gizani ukategemea unakuka chakula salama hiyo hali siwezi kabisa. Na yey namruhusu ashike yangu tena nampa na password

TCRA wametangaza post...
 
Back
Top Bottom