Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
NtawatimuaLabda kama siyo sisiš
NtawatimuaLabda kama siyo sisiš
Ooh sawa mkuuMtu wa hivyo hana analolificha, wewe kama mtu mzima unaelewa fika kuwa kuna yanayoendelea ndio maana mtu anafanya hivyo, huko kutaka kuprove ndio kujitaftia sonona.
Binafsi mwanamke wangu akishakuwa na dalili hizo za kuzima/kuflight simu huwa naona hapa sio kwa kuwekeza tena upendo, nakaa kijanja ila sitomkagua.
Sijaoa
Naunga bando la kazi namkuta anaangalia tiktok.Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Hahahaha... Heshima kwako Bi Faiza.Ndiyo Hapana.
Nyongeza: nanusa hadi nguo sitaki ujinga.
Anakutumia sms ya kuomba kupasha kiporoEx anatafuta nini kwenye simu Yako?
Kuna ma ex kutaka kupasha kiporo. Anakurupuka huko na li sms lake unadhani mtu wako ataelewa? Tena akisikia ni ex wako ndo kabisaaaa..!!Maex wa nini mimi wakati nimeshampa moyo wangu mtoto wa mtu ahangaike nao?
Kupasha kiporo..!!! Si unajuwa kupasha kiporo wala hakuihitaji moto mwingi..!! Hata kama wewe hutaki, mwenzio akikurupuka na li sms lake la kupasha kiporo unadhani mwenzio ataelewa?Ex anatafuta nini kwenye simu Yako?
Sikia, maex kukutafuta na kutuma hizo sms ni namna unavyojiweka kwao.Kuna ma ex kutaka kupasha kiporo. Anakurupuka huko na li sms lake unadhani mtu wako ataelewa? Tena akisikia ni ex wako ndo kabisaaaa..!!
Tukiachana tumeachana wala hata salamu yako sitakiKupasha kiporo..!!! Si unajuwa kupasha kiporo wala hakuihitaji moto mwingi..!! Hata kama wewe hutaki, mwenzio akikuruka na li sms lake la kupasha kiporo unadhani mwenzio ataelewa?
Zi anaburudisha akili MkuuNaunga bando la kazi namkuta anaangalia tiktok.
Aise nimempiga ban
That's it cutekagua at your own risk
siwezi shika simu ya mtu mzima mwenye meno 32 nikakagua na hata akiniachia bahati mbaya ikiwa haiko locked ntamsaidia kuilock unless niwe na nnalolitafuta na wanasega
mwana kulifind mwanakuliget
Wakati ananiunizaZi anaburudisha akili Mkuu
Kwa sababu bado hamjawa 'mwili mmoja' hivyo hakuna mwenye kauli juu maamuzi binafsi ya mmoja wapo.Kwanini hapana Kwa wasio wanandoa?
Hiyo ni case nyingineAchana na wapenzi kuna wapuuzi ukiwapa simu lazima waingie katika gallery na sms sasa sijui wanatafuta nini aisee?
Sawa MkuuKwa sababu bado hamjawa 'mwili mmoja' hivyo hakuna mwenye kauli juu maamuzi binafsi ya mmoja wapo.
Sasa si bora uingiliwe bando ila mtu anakalika nyumbani,Wakati ananiuniza
Inategemea. Kama ni muaminifu hata ukimuachia access ya simu yako mpenzi ni sawa tu ila kama penda penda ni bora mwenzako asiwe na access ya simu yako.Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
No problem Madam...Sawa Mkuu
Lakini kama akiomba simu si unampa tu, Hakuna ubaya wowote.