Nimeibiwa kiboya kweli, hata sijielewi

Nimeibiwa kiboya kweli, hata sijielewi

Ina maana mlango wako hakuna zile koleo za kufunga kwa ndani.Kama hakuna tafadhali weke chini na juu yamkini zingekuwepo mwizi angefungua kitasa lakini angekwama kufungua mlango.

Halafu ndugu yangu kama unaishi wewe na familia tu kwanini usifuge mbwa wana msaada mkubwa sana kama wangekuwepo ingebidi wezi wafanye kazi ya ziada.

umenipa akili mpya ndugu makomeo yapo ila huwa nina tabia ya kulirudishia la juu tu la kwenye gril bila kufuli yani hapa niko full ulinzi nimenunua solex la kufa mtu akija sa iz lazma ajipange hasa
 
mkuu kuna tatzo hapo,,, inamaana mlango mkubwa hauna komeo kwa ndani? Au ilishindwa kufunga hata na ufunguo kwa ndani na kuuacha kwenye kitasa?

Aliyekuibia anakujua na anaijua vzr nyumba yako, yawezekana hata mkeo anampango chanya,
 
nilikua ok boss na wala sikulala nikiwa nimelewa ndo mana mpaka sasa siamini nabaki kucheka tu. Milango nilifunga mimi ndo mana kachana nyavu na kuchukua funguo. Nadhani alipuliza dawa ya usingizi asingejiamini hivyo mpaka kuwasha taa si bure
Mtafute mtu anaitwa Mamakibunju humu anauza CCTV Camera.
Unajua wezi wengi wanaangalia udhaifu wa Nyumba yako.Na huyo anaijua nyumba yako vizuri.

Jiji limekuwa silo siku hizi.Vibaka na wezi wa kawaida ukiweka Cameras au ukiwa na Mbwa wa Kisasa basi utasikia tu wenzio ndio wanalia kwa kuibiwa.
 
Mkuu pole sana...inshort inahitaji ujipange upya katika safu yako ya Security hapo Home kwako tayari weakness imeshaonekana..Kama utaweza jaribu kutumia ulinzi wa mbwa ni Salama na hauna rushwa wala hongo....Mimi nina German shepherd wawili tangu niwe nao sijawahi pata tatizo lolote iwe mchana hata usiku.
Ni walinzi wazuri sana..useme bei yao, mafunzo na msosi ndo inaweza kua shida kidogo ila ni afadhari kuliko kuweka masai.
1436193682893.jpg
 
hivi mnajua kuwa mkojo ni kiboko ya makufuri yaliyoimara???
 
Ameacha nini cha thamani.

kwenye kochi kulikua na ipad nazani hakuiona, kwenye meza ya tv kulikua na xternal hard disc imechomekwa kwenye tv kaichomoa na kuiacha, jikoni kuna ma brenda na vitu kibao tu na hizo room alizoingia kuna acccesories nyingi tu ila hajagusa na kote kaingia manake aliingia na viatu nimeona michanga ya miguu yake
 
Mwizi anavokuibia leo usitegemee kesho atakuja vilevile, hawa jamaa wana mbinu za hatari sana. Wakati unawaza kuziba mwanya aliotumia kukuibia mwanzo yy anawaza njia mpya ya kukuibia, so ni ngumu kujiepusha nao. Bila ulinzi wa Mungu wakeshao wakesha bure..
 
nilikua ok boss na wala sikulala nikiwa nimelewa ndo mana mpaka sasa siamini nabaki kucheka tu. Milango nilifunga mimi ndo mana kachana nyavu na kuchukua funguo. Nadhani alipuliza dawa ya usingizi asingejiamini hivyo mpaka kuwasha taa si bure

Hujajibu swali vizuri
milango haina vitasa?
inatumia funguo only?
hauna grill?
sababu grill huwa zinatoa sauti na ni ngumu kufungulia kwa nje

halafu why madirisha usiwe unafunga? hasa ya sebuleni?
naamini aina ya madirisha yako imekaribisha mwizi
hauna grill za madirisha?

je unawajua mafundi na vibarua walio wahi kufanya kazi kwako hivi karibuni?

uchunguzi uanzie kwao
 
Step by step

Sema ulisikia ukaogopa;huna maana bora ungekaa kimya;Yaani nyumba yote msisikie,au walikutuliza ukawa mpole;sasa unatueleza tufanyeje?NENDA POLISI
 
Last edited by a moderator:
ulipuliziwa dawa ya usingizi next time ukilala hakikisha umeweka ndoo ya maji ikiwa wazi ,ikipuliziwa inanyonywa na maji ya ndoo

Dawa hiyo ya usingizi inaitwaje?
inapatikana wapi?
mbona kuna watu hawapi usingizi na hawaambiwi lolote kuhusu hiyo dawa?
nani aliita ni dawa ya usingizi?
 
huwezi amini mkuu yani nimeamka ikanibidi nicheke tu hasa baada ya kujiridhisha kuwa vitu viko salama. Seems alikua anaiotea tv mda mrefu sana lazma ananijua sio bure

Kama mkeo ni wa bongo au pwani;muulize vizuri amekufanyizia huyo;achana naro,Kaoe Musoma
 
Pole sana. Weka komeo pia funguo usitoe kwenye Kitasa pia ipinde isiwe 90 degree kwa kuwa itakuwa rahisi kuisukuma kwa kutumia funguo nyingine. Pia kazi ya kufunga milango usi delegate kwa Wife uifanye mwenyewe kujiridhisha. Mbwa ni mzuri ila siku hizi wezi wanajipaka mafuta ya Chatu na mbwa akisikia harufu hujikunyata kama kuku alielowana.
 
Dawa hiyo ya usingizi inaitwaje?
inapatikana wapi?
mbona kuna watu hawapi usingizi na hawaambiwi lolote kuhusu hiyo dawa?
nani aliita ni dawa ya usingizi?

Huna lolote ulisikia ukanywea;siku nyingine hata mkeo wata........shauri yako
 
Step by Step,acha kupanic mkuu.
Humu JF humu kuna kipindi Jokes kama hizi ambazo ni serious Jokes kuchekeshana .
Hii Stye humu JF huwa inaitwa Raha ndani ya Shida
Yaani wewe umeibiwa,badala ya ushauri watu wanajipa raha kwa jokeskwanza,then we vumilia ushauri unakuja.
Acha kwanza watu waburudike
Mkuu humu JF siyo wote wanajoke! Wengine ni watu wa matusi mtindo mmoja, sijui wakoje.(yamenikuta hayo!)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom