Watu nomaHebu mkuu nielekeze hii kitu
Watu nomaHebu mkuu nielekeze hii kitu
Mhusikav toa taarifa hizi kwa polisi, sio hapa JF.Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....
Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.
Ufunguo uliweka wapi?!
Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!
Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
Kuua ni dhambi, wakatwe mikonoHalafu wakikamatwa na kuuawa Kuna watetezi wa haki za binadamu wanaanza kuleta ujinga
Ni ujinga tu kumdhihaki mtu aliyepoteza mali yake.Kwake yeye ni gari,JF kila mtu ni tajiri
Haya maswali sio ya kuuliza wakati huu wa dharura......OMG !! Hukufunga GPS ? Trucking system?
Pole sana....
Kwani hiyo pajero io ni garu ya maana basi ,ni kadude tu mithili ya vits sema kapo juu juu,mm iwe bojoKwa Hali ya Sasa hivi, ni vizuri tununue magari ya bei nafuu. Beetle, Toyota Starlet, Toyota Corolla, nk. Hata spea zake ni bei nafuu.
Walikuwepo toka enzi za Nyerere na wataendelea kuwepo tu hakuna namna.Wamerudi tena majambazii
Pole sana ndugu. Kingai anajua?Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
Pole sana ngoja tueneze taarifa umesalimika lakini?Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
Khaaaa, kwahio hii ndio Solution boss?Kwa Hali ya Sasa hivi, ni vizuri tununue magari ya bei nafuu. Beetle, Toyota Starlet, Toyota Corolla, nk. Hata spea zake ni bei nafuu.