Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....

Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.

Ufunguo uliweka wapi?!

Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!

Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
Mhusikav toa taarifa hizi kwa polisi, sio hapa JF.
 
Weka picha ya gari, sasa unataka usaidiwaje bila hata picha?
 
Pole mkuu, kwa kutoa taarifa tu JF, gari utapata, wengine huku tuna upako, tutapasua sala ya kufa mtu, na mwizi atashindwa kwa jina la Yesu. Huenda gari imeshawashinda na kuliacha. Wewe wasiliana tu na polisi, utasikia gari ipo sehemu fulani. Pole mkuu.
 
Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246
Pole sana ndugu. Kingai anajua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom